dist111
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 3,758
- 3,199
Kwangu kuubwa kuliko yoote ni lile bwawa la umeme, na kuhamia dodoma
Lile bwawa likikamilika hatutasumbuka na umeme kwa at least 5years,
Na kuhamia dodoma, kutasaidia saana kuboresha dar, dar haiwez kufa kwa serikali kuhama, ila serikali kuhama kutaidia purukushani za ajabu ajabu za viongozi kupungua na then kuleta raha darisalama
Lile bwawa likikamilika hatutasumbuka na umeme kwa at least 5years,
Na kuhamia dodoma, kutasaidia saana kuboresha dar, dar haiwez kufa kwa serikali kuhama, ila serikali kuhama kutaidia purukushani za ajabu ajabu za viongozi kupungua na then kuleta raha darisalama