Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kwangu kuubwa kuliko yoote ni lile bwawa la umeme, na kuhamia dodoma

Lile bwawa likikamilika hatutasumbuka na umeme kwa at least 5years,

Na kuhamia dodoma, kutasaidia saana kuboresha dar, dar haiwez kufa kwa serikali kuhama, ila serikali kuhama kutaidia purukushani za ajabu ajabu za viongozi kupungua na then kuleta raha darisalama
 
Sikumbuki ulikua mwezi wa ngap ila korona mjini Wuhan ilikua inaupiga mwingi kila siku unasikia watu 300 au 400 wamefarik ilikua kawaida tu.
Baada ya kupita siku nyingi mgonjwa wa kwanza akaingia bongo mjini arusha kwa sisi ambao tunategemea tutoke ili tule tukaingiwa na unyonge ukizingatia ugonjwa ule unaendana na lokdaun.
Mungu na wanadamu Mzee Pombe aka bulldoza akatuhakikishia kuwa hakutakuwa na kujifungia ndan hata iweje na tuendelee na harakat km kawa.
Kuna kipind kulikua ambulans mpya zilikua zinatutesa sana maana halipit lisaa bila kuisikia inapita lkn nazo akawapiga stop waache michezo.

Ingawaje kuna waliofarik na wengine waliumwa na kupona lkn kwa msimamo ule jamaa alijitendea haki kwa kuhakikisha kuwa hatuf tukiwa tumejifungia ndani.

Mwisho wake nini kilitokea? jibu lako, refer Nkurunzinza...
 
Ajabu Mtu anasifiwa kua ni mwindaji bora wakati ameliwa na fisi ndani ya nyumba yake......ujinga tu
 
Kati ya jambo kubwa la uthubutu na akafanikiwa ni kuhamisha serikali na wizara zake zoote kutoka DAR kwenda DODOMA. Kulikuwa na upinzani mkubwa sana kwa watangulizi wake kujaribu na kushindwa. Jambo la pili ni kwa taasisi zenye nguvu zilizomgomea kumpa hela (kwa vile hajipendekezi kwao) kutangaza kuwa TANZANIA si nchi masikini. Big up JPM
 
Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.
16401626968090.jpg
16401627793601.jpg

1782762_tapatalk_1528448721303.jpeg
3o-.jpg
 
Kati ya jambo kubwa la uthubutu na akafanikiwa ni kuhamisha serikali na wizara zake zoote kutoka DAR kwenda DODOMA. Kulikuwa na upinzani mkubwa sana kwa watangulizi wake kujaribu na kushindwa. Jambo la pili ni kwa taasisi zenye nguvu zilizomgomea kumpa hela (kwa vile hajipendekezi kwao) kutangaza kuwa TANZANIA si nchi masikini. Big up JPM
😁😁😁😁
 
Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

View attachment 2053299View attachment 2053300View attachment 2053302View attachment 2053303
Nchi ngumu Sana hii.yajayo yanafurahisha.
 
Wewe kweli coil za kichwani zimelegea.
Kuihamishia serikali Dodoma kumeleta tija gani zaidi ya hasara?
Kweli wagogo na wasukuma hamjitambui
Ofisi yetu ina eneo kubwa na majengo mengi Dar es salaam sasa watumishi wamehamishwa, yametumika tena mabilioni kujenga jengo jipya Dodoma, huku haya ya Dar yapo matupu.
Huoni kuwa huo ni uwendawazimu?
 
Sasa hivi nchi inaendaenda tu, miradi karibu yote ya mikubwa na ya kimkakati inasuasua tu.
 
Magufuli ndiye Rais fisadi Papa bora wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

View attachment 2053299View attachment 2053300View attachment 2053302View attachment 2053303

Mtaishia tu kusema kuwa alifisidi 1.5Trio, lkn hamtaweza kuonesha alikozificha. Maana ufisadi wake ulikuwa ulishirikisha wananchi. Haukuwa wa ubinafsi kama nyie mnaoiba na kuficha ng'ambo. Yeye aliiba na kutujengea miundo mbinu kila mahali.
Kwa kifupi mtaendelea kusema aliiba, lkn hamtaweza kuonesha wapi alikoficha hizo pesa. That's a funny side of your stupidity.
 
Mtaishia tu kusemankuwa alifisidi 1.5Trio, lkn hamtaweza kuonesha alikozificha. Maana ufisadi wake ulikuwa ulishirikisha wananchi. Haukuwa wa ubinafsi kama nyie mnaoiba na kuficha ng'ambo. Yeye aliiba na kutujengea miundo mbinu kila mahali.
Kwa kifupi mtaendelea kusema aliiba, lkn hamtaweza kuonesha wapi alikoficha hizo pesa. That's a funny side of your stupidity.
Wapi nimeandika kuwa Magufuli ameiba pesa?Unajua kusoma?Unaelewa hata maana ya ufisadi ni nini?

Kila siku tunawaimbia hapa kuwa kama mtu hujui kitu kaa kimya ili kuficha ujinga wako.Tutaendelea kuwaimbia huu wimbo hadi lini?

Mtaendelea kutumia JF kama uwanja wenu wa kufanya maonyesho ya ujinga wenu hadi lini?
 
Back
Top Bottom