In short time, amefanya mengi mazuri ambayo kama ingekuwa imefanyika ivyo before him nadhani tungekuwa mbali sana kimaendeleo. suala la kufanya kila raia achangie kodi kuendeleza miradi ilikuwa safi.
all in all amefanya mengi sana mazuri.

rest in peace our hero - JPM
 
Kwa majambazi kajitahidi
 
Mi nilishangaa tu kwa mtu aliyedaiwa kuwa ni mcha Mungu hakuwakemea waliomfananisha au kumpa hadhi ya " umungu" sijui hakusikia au vipi ?
Maisha tunayoyaishi ni mafupi sana but binadamu huwa tunasahaulishwa na mambo makuu matatu either madaraka, pesa na afya so jiwe alilewa one among mentioned na akasahau siku za kuishi ni chache sana (rejea maandiko ya dini) so in my side naamini sana katika hofu ya mungu seriously ukiwa nayo huwez kukosa hekima especially kwa kiongoz kama rais!!!!!!!!!
 
Alisema ataongeza na kupandisha mishara akikaribia kutoka madarakani. Alisahau mwanadamu anapanga na Mungu anaamua.
Kuongeza mshahara wakati unakaribia kutoka ilikuwa ni uhuni na kumfanya Rais ajaye aonekane hafai.Angeongeza mishahara ingekuwa mikubwa zaidi kiasi kwamba ingekuwa ngumu kwa mwenzie kufanya miradi mikubwa ya Maendeleo.Alitakiwa aongeze mshahara akiwa madarani sio kusubiri unakaribia kutoka ili kuwapa mzigo wengine
 
Kutinga site kukagua maendeleo ya miradi na kuhoji matumizi ya fedha kama huna majibu na umefanya mambo ya ovyo anakutumbua mbele ya kadamnasi
 
Viongozi kuwacharaza wananchi viboko hadharani na yeye kukaa kimya (pengine aliwatuma au alikuwa anafurahia).
 
“A true leader has the confidence to stand alone, the courage to make tough decisions, and the compassion to listen to the needs of others. He does not set out to be a leader, but becomes one by the equality of his actions and the integrity of his intent.”
1.Msimamo
2.Kututia ujasiri
3.miundo mbinu
4.Kutuondolea ufisadi
 
5. No double standards.
 
Hakuna lolote unalolijua.....afadhali ungekufa wewe abaki yeye tu. R.W.Y.D.(Rest Where You Deserve) JPM
Hahaha, ndugu tatizo waTanzania tunadhani kifo ni "Sanitizer" kwamba kinamsafisha mtu, marehemu asemwe kwa mabaya yake na mazuri yake, sio kutaja mazuri tu na kuacha mabaya,

Magu alikuwa na mabaya mengi kuliko mazuri, tena hayo mazuri hayakuwa special kwake tu, wanaosema alileta nidhamu serikalini watakuwa mabeki tatu wasiofika kwenye ofisi za serikali, nidhamu haikuwepo kabisa, wanaosema rushwa ilipungua ni mabeki tatu wasiofika kwenye ofisi za serikali, jamaa alikuwa na propaganda za hovyo, eti dunia inatuonea wivu, tangu lini maskini anaonewa wivu!, alikuwa na misimamo ya hovyo isiyo na faida!
 

Nimeishi Dar, Morogoro na Iringa, Dar kulikuwa na shida ya maji, ila Moro na Iringa ahida ya maji iliisha tangu Kikwete era, so nothing special hapo ni muendelezo, asionekane kama mkombozi wakati alikuwa na roho mabaya sana, katili mno!
 
Wangapi tulisikia walikufa kwenye utawala wake? Tuanzie hapo
 
We utakuwa muangaliaji wa propaganda za TBC
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…