Wapi nimeandika kuwa Magufuli ameiba pesa?Unajua kusoma?Unaelewa hata maana ya ufisadi ni nini?
Kila siku tunawaimbia hapa kuwa kama mtu hujui kitu kaa kimya ili kuficha ujinga wako.Tutaendelea kuwaimbia huu wimbo hadi lini?
Mtaendelea kutumia JF kama uwanja wenu wa kufanya maonyesho ya ujinga wenu hadi lini?
Haujui maana ya ufisadi.Sasa kama hujui maana ya ufisadi unataka nisikuite kuwa ni mjinga kwa kisingizio kuwa nitakuwa nakushambulia wewe binafsi badala ya kushambulia hoja?😛😛😛
Umeishia kunishambulia mimi binafsi, badala ya kushambulia hoja zangu.
Haujui maana ya ufisadi.Sasa kama hujui maana ya ufisadi unataka nisikuite kuwa ni mjinga kwa kisingizio kuwa nitakuwa nakushambulia wewe binafsi badala ya kushambulia hoja?
Ambae hujui ufisadi ni nini ni wewe ambae unadai kuwa ufisadi ni kuiba.This is shame!Anyways, ngoja nikuache. Kwa sababu nyie ndiyo wale mnaodandia vitu bila kujua maana. Hujui maana ya ufisadi, na hata wakikwambia thibitisha hiyo 1.5trio ilifisidiwa namna gani, utaishia kuruka ruka tu.
Wewe nawe 27,000 imeanzia kwa mamaKiitikio : MTANIKUMBUKA KWA MAZURI...
Kwani iliwezekana vipi enzi hizo jogoo mmoja tu , mtu unaungiwa umeme ?
Ama iliwezekana vipi bila tozo na mambo yakawa ?
Mbona rozo, makato , mambo kibao na serikali bado inapumulia mipira ngoja ifike bajeti ya 2022/23 ndio uongo na ukweli vitakuwa barazani , sasa hivi wacha watudanganye maana kipaza sauti kipo kwao.
Nyie wajane itawachukua muda sana.Kiitikio : MTANIKUMBUKA KWA MAZURI...
Kwani iliwezekana vipi enzi hizo jogoo mmoja tu , mtu unaungiwa umeme ?
Ama iliwezekana vipi bila tozo na mambo yakawa ?
Mbona rozo, makato , mambo kibao na serikali bado inapumulia mipira ngoja ifike bajeti ya 2022/23 ndio uongo na ukweli vitakuwa barazani , sasa hivi wacha watudanganye maana kipaza sauti kipo kwao.
27000/= imeota mbawa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sukuma Gang mtaimba kila aina ya nyimbo mwaka huuKiitikio : MTANIKUMBUKA KWA MAZURI...
Kwani iliwezekana vipi enzi hizo jogoo mmoja tu , mtu unaungiwa umeme ?
Ama iliwezekana vipi bila tozo na mambo yakawa ?
Mbona rozo, makato , mambo kibao na serikali bado inapumulia mipira ngoja ifike bajeti ya 2022/23 ndio uongo na ukweli vitakuwa barazani , sasa hivi wacha watudanganye maana kipaza sauti kipo kwao.