Master Arcade
JF-Expert Member
- Apr 21, 2021
- 404
- 658
Mfuate tu ...njia zipo lukuki!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pengo lake kamwe halitozibika.
Hakuwahi kumuaibisha mkuu wa muhimili mwingine na kmnanga hadharani kama alivofanya huyu mzanzibari.
Yule mzee apumzike kwa amani walau aliheshimu mihimili mingine japo kwa unafiki sasa kwa sasa hali ni mbaya sana.
Kwa hali hiyo tusitegemee ukuaji wa demokrasia maana kwanza bungeni hakutakua na mijadala huru, na yenye maslahi ya wananchi hivo bunge ndio limekufa.
Pumzika kwa amani Magufuli ulikua Mtanganyika uliesimamia maslahi ya Tanganyika bila uoga leo Tanganyika inaijenga zanzibar, na gharama watalipa watanganyika.tutakukumbuka daima.
Tangia atoke mwinyi madarakani hatukupata kiongozi (RAIS) mzuri nchi hii ovyo ovyo tu.. kila secta ovyo ovyo tu... na wananchi tunaenda ovyo ovyo tu kama wendawazimu... ovyo sana sisi
Ikiwemo kubusu tairi ya semi inayotembea.Mfuate tu ...njia zipo lukuki!
Wakupiga mawe ufe wewe
Njoo na mamako mninyonge sasana wewe wakunyongwa mpaka ufe **** wewe
Usihangaike na chawaMkishapombeka mnaanzisha nyuzi hovyo hovyo tu bila hata kuwa na taarifa sahihi!
Lissu ameongea asubuhi kama Makamu mwenyekiti wa CHADEMA na kaeleza msimamo wa CHADEMA juu ya kilichotokea!
So hapo kwenye hoja ulipotaja CHADEMA umechemka!!!