Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Pengo lake kamwe halitozibika.
Hakuwahi kumuaibisha mkuu wa muhimili mwingine na kmnanga hadharani kama alivofanya huyu mzanzibari.
Yule mzee apumzike kwa amani walau aliheshimu mihimili mingine japo kwa unafiki sasa kwa sasa hali ni mbaya sana.
Kwa hali hiyo tusitegemee ukuaji wa demokrasia maana kwanza bungeni hakutakua na mijadala huru, na yenye maslahi ya wananchi hivo bunge ndio limekufa.
Pumzika kwa amani Magufuli ulikua Mtanganyika uliesimamia maslahi ya Tanganyika bila uoga leo Tanganyika inaijenga zanzibar, na gharama watalipa watanganyika.tutakukumbuka daima.

Na spika wa awamu hii atokee huko huko wazee wa legacy tuweze kukenua lau kidogo.
 
Tangia atoke mwinyi madarakani hatukupata kiongozi (RAIS) mzuri nchi hii ovyo ovyo tu.. kila secta ovyo ovyo tu... na wananchi tunaenda ovyo ovyo tu kama wendawazimu... ovyo sana sisi
 
Tangia atoke mwinyi madarakani hatukupata kiongozi (RAIS) mzuri nchi hii ovyo ovyo tu.. kila secta ovyo ovyo tu... na wananchi tunaenda ovyo ovyo tu kama wendawazimu... ovyo sana sisi

Madudu yamejaa kila secta.. japokuwa sijafika zote
 
Nilivyoona kilekikao cha waziri mkuu na wafanyakazi wa wizara ya fedha kuhusu posho waliojilipa nikajisemea mwenyewe jembe angekuwepo pasinge kuwa na kujilipa maposho kwa mamilioni maana wanaujua motowake. Keep on RIP Ngosha..
Wengi akili zitawarudi taratibu.
 
Magufuli alikuwa dikteta uchwara, piga kimya au ukiona unapata makasiriko kachambie vibunzi vya Chato.
 
Waliowahi kuwa wafanyakazi hewa. Watakupinga
FB_IMG_16413738217432386.jpg
 
Mkishapombeka mnaanzisha nyuzi hovyo hovyo tu bila hata kuwa na taarifa sahihi!
Lissu ameongea asubuhi kama Makamu mwenyekiti wa CHADEMA na kaeleza msimamo wa CHADEMA juu ya kilichotokea!
So hapo kwenye hoja ulipotaja CHADEMA umechemka!!!
 
Mkishapombeka mnaanzisha nyuzi hovyo hovyo tu bila hata kuwa na taarifa sahihi!
Lissu ameongea asubuhi kama Makamu mwenyekiti wa CHADEMA na kaeleza msimamo wa CHADEMA juu ya kilichotokea!
So hapo kwenye hoja ulipotaja CHADEMA umechemka!!!
Usihangaike na chawa
 
Back
Top Bottom