Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Wapi nimeandika kuwa Magufuli ameiba pesa?Unajua kusoma?Unaelewa hata maana ya ufisadi ni nini?

Kila siku tunawaimbia hapa kuwa kama mtu hujui kitu kaa kimya ili kuficha ujinga wako.Tutaendelea kuwaimbia huu wimbo hadi lini?

Mtaendelea kutumia JF kama uwanja wenu wa kufanya maonyesho ya ujinga wenu hadi lini?

😛😛😛

Umeishia kunishambulia mimi binafsi, badala ya kushambulia hoja zangu.
 
😛😛😛

Umeishia kunishambulia mimi binafsi, badala ya kushambulia hoja zangu.
Haujui maana ya ufisadi.Sasa kama hujui maana ya ufisadi unataka nisikuite kuwa ni mjinga kwa kisingizio kuwa nitakuwa nakushambulia wewe binafsi badala ya kushambulia hoja?
 
Haujui maana ya ufisadi.Sasa kama hujui maana ya ufisadi unataka nisikuite kuwa ni mjinga kwa kisingizio kuwa nitakuwa nakushambulia wewe binafsi badala ya kushambulia hoja?

Anyways, ngoja nikuache. Kwa sababu nyie ndiyo wale mnaodandia vitu bila kujua maana. Hujui maana ya ufisadi, na hata wakikwambia thibitisha hiyo 1.5trio ilifisidiwa namna gani, utaishia kuruka ruka tu.
 
Anyways, ngoja nikuache. Kwa sababu nyie ndiyo wale mnaodandia vitu bila kujua maana. Hujui maana ya ufisadi, na hata wakikwambia thibitisha hiyo 1.5trio ilifisidiwa namna gani, utaishia kuruka ruka tu.
Ambae hujui ufisadi ni nini ni wewe ambae unadai kuwa ufisadi ni kuiba.This is shame!
 
Kiitikio : MTANIKUMBUKA KWA MAZURI...

Kwani iliwezekana vipi enzi hizo jogoo mmoja tu , mtu unaungiwa umeme ?
Ama iliwezekana vipi bila tozo na mambo yakawa ?
Mbona rozo, makato , mambo kibao na serikali bado inapumulia mipira ngoja ifike bajeti ya 2022/23 ndio uongo na ukweli vitakuwa barazani , sasa hivi wacha watudanganye maana kipaza sauti kipo kwao.
 
Namkumbuka kwa mabaya tu

E6C6ECD2-3A99-4F6D-8033-7F3C5FBFDFE6.jpeg


17FF451B-9278-4939-8E32-E2259E33C3D4.jpeg
 
Kiitikio : MTANIKUMBUKA KWA MAZURI...

Kwani iliwezekana vipi enzi hizo jogoo mmoja tu , mtu unaungiwa umeme ?
Ama iliwezekana vipi bila tozo na mambo yakawa ?
Mbona rozo, makato , mambo kibao na serikali bado inapumulia mipira ngoja ifike bajeti ya 2022/23 ndio uongo na ukweli vitakuwa barazani , sasa hivi wacha watudanganye maana kipaza sauti kipo kwao.
Wewe nawe 27,000 imeanzia kwa mama
 
Kiitikio : MTANIKUMBUKA KWA MAZURI...

Kwani iliwezekana vipi enzi hizo jogoo mmoja tu , mtu unaungiwa umeme ?
Ama iliwezekana vipi bila tozo na mambo yakawa ?
Mbona rozo, makato , mambo kibao na serikali bado inapumulia mipira ngoja ifike bajeti ya 2022/23 ndio uongo na ukweli vitakuwa barazani , sasa hivi wacha watudanganye maana kipaza sauti kipo kwao.
Nyie wajane itawachukua muda sana.
 
Kiitikio : MTANIKUMBUKA KWA MAZURI...

Kwani iliwezekana vipi enzi hizo jogoo mmoja tu , mtu unaungiwa umeme ?
Ama iliwezekana vipi bila tozo na mambo yakawa ?
Mbona rozo, makato , mambo kibao na serikali bado inapumulia mipira ngoja ifike bajeti ya 2022/23 ndio uongo na ukweli vitakuwa barazani , sasa hivi wacha watudanganye maana kipaza sauti kipo kwao.
Sukuma Gang mtaimba kila aina ya nyimbo mwaka huu
 
Back
Top Bottom