kutumia madaraka yake vibaya kutisha, kuumiza na kupoteza watu wote ambao waliokwenda tofauti ya mtazamo wake.Alikuwa mwanaume pekee aliyeweza kusimamia nchi nzima bila kiumbe yeyote kunyanyua shingo kwa kifupi San zote tulifyata mkiaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kutumia madaraka yake vibaya kutisha, kuumiza na kupoteza watu wote ambao waliokwenda tofauti ya mtazamo wake.Alikuwa mwanaume pekee aliyeweza kusimamia nchi nzima bila kiumbe yeyote kunyanyua shingo kwa kifupi San zote tulifyata mkiaa
Kwa kweli Magufuli alikuwa jasiri hadi kupora rambirambi za maafa ya tetemeko la Kagera!Putin ameshadhibitiwa kiuchumi kwa 75% lakini mzunguko umekuwa mkubwa mno.
Palihitajika Kiongozi mfano wa shujaa Magufuli anayeweza kusema na kutenda hapo hapo lakini kwa bahti mnaya sijamuona pale Ulaya, wote wanaogopa baridi.
Kiukweli Magufuli alikuwa Kiongozi wa level ya sayari nyingine aisee!
Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani John Magufuli!
Putin ameshadhibitiwa kiuchumi kwa 75% lakini mzunguko umekuwa mkubwa mno.
Palihitajika Kiongozi mfano wa shujaa Magufuli anayeweza kusema na kutenda hapo hapo lakini kwa bahti mnaya sijamuona pale Ulaya, wote wanaogopa baridi.
Kiukweli Magufuli alikuwa Kiongozi wa level ya sayari nyingine aisee!
Mungu wa mbinguni mpumzishe kwa amani John Magufuli!
Nitamkumbuka kwa ushamba wake
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Sana na ulimbukeni na sifa sifa za kuudhi.Nitamkumbuka kwa ushamba wake
Pole sana kwa kilichokutokea uliopokua unatembea mbele ya chuma. Naona sasa umekata shauri, umeona uamie nyuma ya chuma.Nimekata shauri wakuu, natembea nyuma ya Chuma saivi.
😂😂😂😂😂😂😂😂naona umeiadhimisha siku ya kulala duniani vyema kabisa.
Ahsante sana mkuuPole sana kwa kilichokutokea uliopokua unatembea mbele ya chuma. Naona sasa umekata shauri, umeona uamie nyuma ya chuma.