Wananchi wengi ambao ni wa kawaida wana mmisi sana Magufuli.
Bahati mbaya mafisadi na wanasiasa uchwara ambao bahati mbaya tena ndiyo wanacontrol habari wanalazimisha picha ya kuto mmisi au kujenga chuki kwa Magufuli.
Ujiulizi kwa nini mpaka leo hii zaidi yanmiezi 10 toka amefariki bado kuna kampeni kubwa ya kumchafua? Watu wanaacha kujadili mambo muhimu yanayojiri wanatumia pesa kuset agenda za kumchafua au kumdogosha magufuli.
Kama watu hawa mmisi kwa nini kila siku mnatunga ’visred’ vya kumchafua? Sababu mnajua moto wake haupoi, na amekaa kwenye roho za walio wengi, hivyo bajeti kubwa na nguvu kubwa hadi leo zinaelekezwa kwenye project chafua Magufuli.
Na hii ni sababu mnajua you cannot do better than him, kwa hiyo pona yenu mnafikiria ni kuchanganya uelewa wa wananchi juu ya Magufuli.
Matatizo yote ambayo Magu aliyamudu yanaibuka lakini yanapambwa kwenye media kama hayapo vile au yanastahili kuwapo! Badala ya kupigia kelele haya wafitini wanaendeleza kumchafua Magu!
Bahati mbaya mafisadi na wanasiasa uchwara ambao bahati mbaya tena ndiyo wanacontrol habari wanalazimisha picha ya kuto mmisi au kujenga chuki kwa Magufuli.
Ujiulizi kwa nini mpaka leo hii zaidi yanmiezi 10 toka amefariki bado kuna kampeni kubwa ya kumchafua? Watu wanaacha kujadili mambo muhimu yanayojiri wanatumia pesa kuset agenda za kumchafua au kumdogosha magufuli.
Kama watu hawa mmisi kwa nini kila siku mnatunga ’visred’ vya kumchafua? Sababu mnajua moto wake haupoi, na amekaa kwenye roho za walio wengi, hivyo bajeti kubwa na nguvu kubwa hadi leo zinaelekezwa kwenye project chafua Magufuli.
Na hii ni sababu mnajua you cannot do better than him, kwa hiyo pona yenu mnafikiria ni kuchanganya uelewa wa wananchi juu ya Magufuli.
Matatizo yote ambayo Magu aliyamudu yanaibuka lakini yanapambwa kwenye media kama hayapo vile au yanastahili kuwapo! Badala ya kupigia kelele haya wafitini wanaendeleza kumchafua Magu!
- Mgao wa umeme umerudi, gharama za kuunganisha umeme juu
- Bei za bidhaa zimepanda kwa kasi ya ajabu, hakuna anayejikuna. Wananchi wa kawaida wanalalamika sana, lakini vyombo vya habari kwao siyo news sababu ”who pays the piper calls the tune”
- Ubovu wa huduma za kijamii na kutojali wananchi kunarejea
- na mengine mengi!