Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Tena ukienda kuhiji Maka Ili Uwe àalhaji lazima utembelee Kaburi la firauni na maiti yake ipo inatunzwa kitaalamu mpaka leo,Sasa huyo NYANG'AU JIWE kwa unyama aliotufanyIa Watz hatutamsahau Kamwe.
Ukiona Mtanzania amkumbuki Magufuli,jua huyo alikuwa na vyeti feki,muuza unga au fisadi mwizi wa mali za umma.
 
The late Magufuli pamoja na kuwa tunaona mgao wa Umeme mkali ambao kipindi chako ilikuwa historia, vibaka mitaani ilikuwa historia, ajali za hovyo hovyo zilikuwa historia and may be many others, LAKINI SIWEZI KUKUKUMBUKA KAMWE kwa sababu uliua demokrasia, Mahakama, Bunge na ulikanyaga kila Katiba na Sheria vilizokuwa mbele yako. The worst side of it ULIKUWA MUUAJI.

HERI KUISHI KWENYE SHIDA LAKINI NIKIWA HURU.

Pumzika kwa Amani maana Mungu Mwana Bwana Yesu na Mungu wetu walituasa tusameheane
 
Kama ulikuwa chawa wake ndipo uishi utamkumbuka kwa kweli, wengine mifumo yetu ya kuishi haitegemei mtu
 
The late Magufuli pamoja na kuwa tunaona mgao wa Umeme mkali ambao kipindi chako ilikuwa historia, vibaka mitaani ilikuwa historia, ajali za hovyo hovyo zilikuwa historia and may be many others, LAKINI SIWEZI KUKUKUMBUKA KAMWE kwa sababu uliua demokrasia, Mahakama, Bunge na ulikanyaga kila Katiba na Sheria vilizokuwa mbele yako. The worst side of it ULIKUWA MUUAJI.

HERI KUISHI KWENYE SHIDA LAKINI NIKIWA HURU.

Pumzika kwa Amani maana Mungu Mwana Bwana Yesu na Mungu wetu walituasa tusameheane
Unajichanganya mwenyewe.

Unawezaje kudai huwezi kamwe kumkumbuka ilhali kwa wakati huo huo unamwanzishia mada?

Amekuingia akilini, ukamkumbuka, hadi ukafikia hatua ya kumwandika.

Acha kujishaua. Kubali tu unamkumbuka. Siyo vibaya kumkumbuka, iwe kwa mazuri au mabaya.

Kujifanya humkumbuki huku unamkumbuka, ni kuchanganyikiwa na kujichanganya.

Rais Magufuli unamkumbuka. Tena unamkumbuka sana tu.

Usingemkumbuka, usingemwanzishia mada hapa.
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
mzee alikuwa mwongo sana na tapelitapeli utamsikia kila kitu tunafanya kwa pesa zetu wenyewe hii inchi ni tajiri kumbeee, vyama vya upinzani vilionewa sana hasa chadema,watanzania wengi walibaki yatima wazazi wao kupotezwa na wengine kubaki vilema maisha,kiujumla alikuwa dikteta
 
Nitamkumbuka kwa watu kuuwawa sana na kusingiziwa Kesi zisizo na dhamana kwa hila!!
Kuchukia kila anayekosoa serikali hata kama jambo lina uhalisia kiasi gani!!

Kiazi sana yule jamaa!!
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Uthubutu [emoji123]
 
Unajichanganya mwenyewe.

Unawezaje kudai huwezi kamwe kumkumbuka ilhali kwa wakati huo huo unamwanzishia mada...
Mkuu nakubaliana nawe, hata mimi namkumbuka sana kwa kazi ile ya bomoa bomoa ya Kimara hadi Kibaha bila kulipa mtu sent; na nadhani Mama Mh. Rais Samia nita/atakumbukwa sana kama atawakumbuka wale wenye nyumba hizo zilizo bomolewa kwa kuwapatia hata kifuta JASHO tu.
 
Back
Top Bottom