passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Acha takwimu uchwara kila mahali SASA hivi wanamkumbuka magufuli Kwa sababu serikali hii dhaifu imeshindwa kukontrol mfumuko wa bei,hakuna maji na umeme.yaani watanzania SASA hivi wanalia na Hali ya maisha.ni nyie Tu wenye vyeti feki ndo mmeshindwa kumsahau.anachukiwa na almost 98% ya watanzania , ambao wako zaidi ya 65 milioni , hao wenye vyeti feki unaowasema hawakuzidi elfu 15
Unamchukia wewe mkuu, mimi pia ninakuchukia wewe kwa kumchukia mpendwa wangu, kwa kifupi hata fimbo unachezea nikikujua.anachukiwa na almost 98% ya watanzania , ambao wako zaidi ya 65 milioni , hao wenye vyeti feki unaowasema hawakuzidi elfu 15
Wanaomkumbuka wapo, mimi ni mmojawao.View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Baba wa Sukuma GangMagufuli ndio baba wa watanzania wote,au nasema uongo ndugu zangu?
Tunakumbuka huu ukatili wake uliopitiliza uliokuwa unaenda kinyume na katiba yetuπSasa mnapo muandika mnakumbuka nini.
Kula mahindi ya "KUCHOMA"View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Hata yeye asingekuwa na kazi ndio maana hayupoMakamba asingekuwa na kazi
Uweso asingekuwa na kazi
Maharage asingekuwa na kazi
Luhemeja asingekuwa na kazi
πMakamba angekuwa anajambia mabenchi ya Bunge kama mbunge tu. Uwaziri angeishia kuuona kwenye tunguri za ukoo wao usambaani.
Hawa ni watu walioshindwa kukubali kuwa JPM hatarudi tena hapa duniani, wamesononeka vya kutosha sasa wanamfufua mawazoni mwao.Hata yeye asingekuwa na kazi ndio maana hayupo
Ni ukweli tulikuwa tunampenda sana ,na haya mambo yavyoendela humu nchini,ata wale waliokuw hawampendi zamani sasa wanazidi kuongezaka kumpenda.Hawa ni watu walioshindwa kukubali kuwa JPM hatarudi tena hapa duniani, wamesononeka vya kutosha sasa wanamfufua mawazoni mwao.