Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Alikua anapenda matusi tusi .hatasahaulika...Sema yule mzee bhana😀😀. Alikuwa na vibe sana aisee.
me nilikuwa napenda akiwa anayataja maneno akiwa anamaanisha vingine mfano "mnataka kupanuliwa wapi?" Au "makamu nayeye ni mzuri ndo maana nikamchagua"😀😀