Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Alifanya vile kufunika uelewa wake mdogo wa masuala. Hakukujua chochote na alikuwa Hana uwezo kabisa. Mpaka anakufa alikuwa anajuta kwa Nini zari lilimuangukia mpaka akawa rais ndo mana hakujua afanye Nini ofisini zaidi ya kula mahindi tu
Haushangazi kwa maneno yako...
Unajua makovu ya Chicken pox huwa yanauma na kuwasha sana.....usisahau uzeeni utapata Zoster a.k.a mkanda wa jeshi
 
Basi ile misukule yake ikiona hivyo huwaambii kitu utasikia huyu ndio rais .kwakifupi alijua kucheza na akili za wajinga wengi.
Mi nadhani aliowachagua ndio walijua kucheza na akili zake... Na ndio waliomuharibia kuanzia ushauri mpk matendo...
Ila yeye km yeye alikuwa mtu poa sana.. Mungu amsamehe dhambi zake alizozitenda km binadamu maana hatujakamilika
 
Alifanya vile kufunika uelewa wake mdogo wa masuala. Hakukujua chochote na alikuwa Hana uwezo kabisa. Mpaka anakufa alikuwa anajuta kwa Nini zari lilimuangukia mpaka akawa rais ndo mana hakujua afanye Nini ofisini zaidi ya kula mahindi tu
Huu uzi huu🤣🤣🙌
 
Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo

Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu

Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida

RIP Shujaa Magufuli
Rip Shujaa!
Mbona unasahau swaga nyingine?
Mara kakwapua Tril 1.5
Mara kfungua akaunti China hela za Plea Bargaining
Mara kazaa na mke wa balozi nanihii...
Mara kawaambia jamaa wasije na mavi yao mjini....

Jamaa yule kwa swaga ni balaa!
 
Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo

Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu

Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida

RIP Shujaa Magufuli
Mara kalala juu ya mawe ikulu, sema hivi vituko hawa viongozi watakua wanafanya makusudi, spining
 
Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo

Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu

Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida

RIP Shujaa Magufuli
MAZUZU yalimshangilia [emoji1787][emoji1787] kumbe anatafuta namna ya kuwaibia
 
Alikua kijiweni anagonga gahawa, akatokea nduguye (kwenye ukoo) akamuomba pesa. Magu akamkokota jamaa hadi hardware akamnunulia majembe akamwambia lile shamba la kule chini hua analima nani? Jamaa akamjibu hakuna mtu analima, Magu akamwambia "haya kamata haya majembe ukalime utapata hela" (imagine na lile li sauti lake).

#StoriZaVijiweni
Pamoja na kuwa stori ya kijiweni ila ina 100% ya ukweli, kakupa nyavu ukavue kila siku na hakumpa samaki ale ashibe alafu akaombe tena!
 
Alifanya vile kufunika uelewa wake mdogo wa masuala. Hakukujua chochote na alikuwa Hana uwezo kabisa. Mpaka anakufa alikuwa anajuta kwa Nini zari lilimuangukia mpaka akawa rais ndo mana hakujua afanye Nini ofisini zaidi ya kula mahindi tu
Mbona wakati akiwa waziri hukuyasema haya ? Wewe ulipigwa cheti fake siyo bure.
 
Umeshawahi ona mtu ana Cheri fake? Zile zilikiwa mbinu tu za kupunguza wafanyakazi serikalini baada ya kuona mambo hayaendi
Kwa hiyo hayati Rais mstaafu Mkapa na mstaafu Kikwete hawakuwa na akili kwa kumpa uwaziri karibia miaka ishirini ? Kama hakuwa na uelewa ni vipi aliaminiwa kwenye ngazi ya uwaziri kwa muda huo ? Wewe hapo ulipo kula yako tu ya kubangaiza baada ya kupigwa chini kwa cheti fake ! Na utajuta mpaka unaondoka katika dunia hii.
 
Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo

Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu

Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida

RIP Shujaa Magufuli
Shujaa wa wavivu hasa hasa wavivu wa kufikiri.
 
Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo

Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu

Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida

RIP Shujaa Magufuli
Mungu ampe pumziko jema Shujaa wetu
 
Back
Top Bottom