johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hapa Mafinga tunajenga sanamu yake ametuheshimisha sana!The comical Magu!๐๐๐
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa Mafinga tunajenga sanamu yake ametuheshimisha sana!The comical Magu!๐๐๐
Ah bora ntoke kwa huu uzi..maana nashindwa jikaza kuchekA๐คฃ๐คฃ๐Hapo sijazigusa "regase"!Nikizigusa tu zitakuwa "intaplinywaa"!๐๐๐๐
Muijenge pale Davis Corner.Nikilewa niwe naiamkia.๐๐๐๐Hapa Mafinga tunajenga sanamu yake ametuheshimisha sana!
Huu Uzi ni wa kusifu na kuabudu,atakayejichanganya aponde atakula mvua ya mitusi ya kufa mtu.Yaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo
Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu
Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida
RIP Shujaa Magufuli
Itakuwa pale kwa Bilionea MoshaMuijenge pale Davis Corner.Nikilewa niwe naiamkia.๐๐๐๐
Au muijenge kule Nyamisisye Kiabakari tunaponunua ndizi.๐๐๐๐Itakuwa pale kwa Bilionea Mosha
Wajenge pale sheli kabisa..au kule juu karibia TuicoMuijenge pale Davis Corner.Nikilewa niwe naiamkia.๐๐๐๐
Chabakari...kuna fumbi jekunduuAu muijenge kule Nyamisisye Kiabakari tunaponunua ndizi.๐๐๐๐
Madereva wahuni wa Mwendamseke injini nyuma wataigonga.๐๐๐๐Wajenge pale sheli kabisa..au kule juu karibia Tuico
Amewaheshimisha kwa kitu gani hapo Mafinga? Nyee!Hapa Mafinga tunajenga sanamu yake ametuheshimisha sana!
Usisahau kulala kwenye mawe ChamwinoYaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo
Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu
Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida
RIP Shujaa Magufuli
Umeanza kupa-diss ukweni?Simalizii mahari.๐๐๐Chabakari...kuna fumbi jekunduu
Na raba zake za buku 6Usisahau kulala kwenye mawe Chamwino
๐Umeanza kupa-diss ukweni?Simalizii mahari.๐๐๐
๐๐ ๐คฃNa raba zake za buku 6
Mzalendo wa kweliNa raba zake za buku 6
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃYaani Shujaa Magufuli alikuwa Mtu wa kujichanganya sana na raia wa kawaida ndio sababu atapendwa hadi mtondogoo
Kila nikikumbuka Swaga zake za kula samaki wa kukaanga ferry na kunywa kahawa vijiweni nasema hakika Mwamba alikuwa Mtu wa Watu
Naona Tundu Lisu naye anaigaiga pale Nkasi na yeye alikabidhiwa jogoo na Aida
RIP Shujaa Magufuli
Subhannallah!Na raba zake za buku 6
APia!Mzalendo wa kweli