Kwa sasa tutamkumbuka kama x president maana ametuacha katika mikono salama ya Rais Samia Suluhu mama ameifungua nchi Mama ametufuta machozi na anasimamia haki za wananchi na nchi kwa ujumla ameirejesha democrasia iliyokua imepotea kwa haya yote aliyofanya Rais Samia Suluhu hatuna haja ya kumkumbuka
 
Wakati wake, tsh 100.000/ ilitosha kuanzishia biashara, Leo utafanyia nini
Pengine upo sawa kuwa 100,000/= inaweza tosha kuanzisha biashara japo sina uwakika unless you tell me they kind of bussiness that can be established with only 100,000/= but on top of that huyo jamaa ndyo alitengeneza majobless wengi ambayo ili wabidi wa forgone elimu zao then wakaanzishe hizo biashara ambazo mtaji wake ni tsh 100,000/=.
 
Rais Samia Suluhu ndiye aliyeikomboa nchi kutoka kwa watu wasiojulikana
ametoa ajira za kutosha kwa vijana na bado anaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa vijana kujiajiri ameimarisha diplomasia sasa tunapata wawekezaji wengi kutoka nje pia amerejesha democrasia iliyokua imepotea kwaiyo Mama amefanya mengi sana ndani ya miaka miwili wenye akili tu ndio wanaelewa
 
1.Sukari 16001kg enzi za Jk hadi 30001Kg ni kumletea maisha Bora mlalahoi apate nafuu
2. Cement 12000/= enzi za Jk Hadi 20000/= ni kumletea maisha Bora mlalahoi apate nafuu
3. Mbolea 46000/= Hadi 94000/= ni kumletea maisha Bora mlalahoi apate nafuu.

Brothers and sisters if you want to post a serious matters In any platform you first consider who are going to read your article or anything else like that.

Nimetumia lugha ya kizungu kutia msistizo ila Mimi ni shuhuda wa mambo mengi kwenye kwenye jamii yangu tangu Jk
 
Kmmko! Chadema ndo wanakusanya ushuru na Kodi? Chadema ndo wanachukua mikopo?
Na wwe ni mpiga kura wa chadema,hiki chama kimejaa wahuni watupu kuanzia kwa Lemma hadi nyie walamba viatu,Lugha za matusi sio mtaji ata sisi tunajua kutukana ila sio mahala pake humu.
 
Sawa kadaraja la kwako liko wapi?
 
Ninamkumbuka kwa kubana demokrasia,kupoteza watu,kuokota watu kwenye viloba,kunyang'anya wafayabiashara,kununua wanasiasa waupinzani wenye njaa na waoga,kuikandamiza Zanzibar ndani ya muungano,matumizi ya ovyo ya pesa za serikali bila ya kufuata utaratibu hayo ni kwa uchache.
 
yaani unatetea mtu kutompandishia mshahara miaka sita,kutalingana na kupanda maisha kwa sasa?Vipi kuhusu kutoajiliwa watu?
Ww nikicho
yaani unatetea mtu kutompandishia mshahara miaka sita,kutalingana na kupanda maisha kwa sasa?Vipi kuhusu kutoajiliwa watu?
WW mijinga, solution sio kuongeza mshahara ni kuwapunguzia watu matumizi njia bora alioiona ni kujenga bwawa LA umeme uzalishaji ishuke bei maana ghalama za umeme angeshusha kwaiyo viwanda vingepata nishati Kwa bei ndogo vingezalisha Kwa ghalama ndogo ,mshahara ungebaki pale pale ila vitu vingeshuka be.Bwea we uwe na akili
 
Kiongozi unafikia kuingia uwanjani kucheza kibao kata ili kumfurahisha mteule?

Mawaziri walifikia kuamini kuwa ili uendelee kuwa na nafasi yako basi lazima ufanye matendo ya hovyo ili mradi Jiwe afurahi.

Kama taifa tulikwama na hatukujua nini kesho yetu .

Mtazame kiongozi wa ngazi ya uwaziri anacheza mbele ya Jiwe ili alinde teuzi yake.

Your browser is not able to display this video.
 
Sioni kama hilo ni tatizo la kiongozi, tatizo ni hao mawaziri walio tayari kufanya lolote kutetea matumbo yao, kwani nani ana hakika kama hao mawaziri wameacha hizo tabia zao?

Kinachotufanya tuone wameacha ni kwasababu huyu aliyepo hataki hayo mambo, lakini kama ikitokea siku akayataka, basi hao wakata viuno wapo tayari.
 
Sioni kama hilo ni tatizo la kiongozi, tatizo ni hao mawaziri walio tayari kufanya lolote kutetea matumbo yao, kwani nani ana hakika kama hao mawaziri wameacha hizo tabia zao?
Kama huyo kiongozi asingekuwa anapendezwa na hayo yanayo fanyika angewakataza kabisa wasaidizi wake kuyafanya.

Mtoto umleavyo ndiyo akuavyo hivyo huwezi kumtenganisha mteuzi wao na matendo ya hao
 
Kama huyo kiongozi asingekuwa anapendezwa na hayo yanayo fanyika angewakataza kabisa wasaidizi wake kuyafanya.

Mtoto umleavyo ndiyo akuavyo hivyo huwezi kumtenganisha mteuzi wao na matendo ya hao
Kwanini umkataze mtu kufurahi? Magufuli hakuwalea hao mawaziri na tabia zao, aliwakuta nazo, hakuwapeleka darasa lolote kuwafundisha hayo.
 
Mama tunakuomba uache sasa kuwalipa hawa vijana wako kumchafua magufuli…Tayari wewe ni raisi na utachaguliwa tena 2025 Magufuli ameshafariki na wala hatofufuka kugombea tena.
Brother huwezi kuufunika moshi kwa karai, uta toka tu kupitia pembeni .
Bora karai liondolewe moshi utoke wote then ndio moto usio na moshi uwake.

Hapo ndipo mema na mazuri ya Magufuli yatajulika bayana kwa kila mtu , na matumaini kila ulimi utakiri ya kua yule ndugu alikua ni kiongozi bora kwa nyakati na nyakati.
 
Ila aliibambia
 
We jamaa ni mjinga sana
Kucheza acheze kangi hlf unamlaumu jiwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…