Mama tunakuomba uache sasa kuwalipa hawa vijana wako kumchafua magufuli…Tayari wewe ni raisi na utachaguliwa tena 2025 Magufuli ameshafariki na wala hatofufuka kugombea
Ni mda sasa nnachoona Ni machawa wanakua wengi kupita kawaida na kauli mbiu yao ya "anaupiga mwingi" alaf sielewi Ni kwenye nini. Ni upuuzi wa kiwango cha flyover....ivi... Are they even real people!?
 
Kiongozi akiwa kichaa na wateule wake wanakuwa hivyo hivyo.
 
Muacheni Mzee wa Watu apumzike zake huko alipo.Kila binadamu ana yake,utazungumzia hawa waliofanya hadharanii ila kuna wanaofanya ufuska hatari huwaoni.
Kiongozi hawezi kuachwa Hitler siunaona hili ni fundisho ukiwa kiongozi utende mema,si kila siku mnammwagia misifa hapa asiekuwa nayo...na aliekudanya kuna kupumzika huko ni nani???
 
Hivi uliishia darasa langapi?
 
Umesema ukweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…