M O N S T E R
JF-Expert Member
- Sep 26, 2022
- 2,818
- 8,465
Siyo nyinyi ambao huwa mnalialia kwamba 'marehemu' aachwe apumzike?Kesho dunia inaazimisha miaka miwili ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 nchini Tanzania...
Nitaendelea kusherehekea uhuru unaotimiza miaka miwili hiyo kesho, the tyrant dictator is gone wow ..... .[emoji847][emoji847][emoji33][emoji33]