Kesho dunia inaazimisha miaka miwili ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya 5 nchini Tanzania...
Siyo nyinyi ambao huwa mnalialia kwamba 'marehemu' aachwe apumzike?

Nitaendelea kusherehekea uhuru unaotimiza miaka miwili hiyo kesho, the tyrant dictator is gone wow ..... .[emoji847][emoji847][emoji33][emoji33]
 
Huyu mtu mnavyozidi kumtaja na kumwandika humu kila siku walah mnaleta uchonganishi kwa viongoz wa hawamu hii hasa majizi.

WANACHADEMA na Sisi Wazalendo, Mwacheni mzee wetu apumzike kila mkitaja jina lake nahisi anastuka huko aliko mnamchosha.
 
Usituchoshe na kichaa wako jpm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…