Kesho ni ijumaa nyingine ya ibada ya njia ya msalaba.

Kama nitafanikiwa kwenda Chachi(manake Nina Safari nje ya mkoa sio confirmed )nitamwombea Toba.

Maana yake hakujua alokua anayatenda🙏ingekuwa kipindi kile nazipiga ulabu kwa wingi ningekesha club😅
 
K
umbe ni Dunia??
 
Mimi hiyo miaka miwili sitaazimisha nitaikodisha nipate senti ya K-Vant.
 
Huyu mtu mnavyozidi kumtaja na kumwandika humu kila siku walah mnaleta uchonganishi kwa viongoz wa hawamu hii hasa majizi,WANACHADEMA na Sisi Wazalendo ,Mwacheni mzee wetu apumzike kila mkitaja jina lake nahisi anastuka huko aliko mnamchosha.
Kashakufa hastuki.

Yeye mwenyewe alipenda kutajwatajwa ndiyo maana kakubali kuwa mwanasiasa.

Angekuwa mtu wa kawaida tu hataki shobo na mtu tusingemjua wala kumtaja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…