Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Kafanya uhuni,ukatili na mauji kuliko marais woteHe is our sons's legacy
Ametusaidia Mambo mengi.
JPM kafanya mengi makubwa kuliko Rais yeyote aliwewahi pita nakosa la kuandika kabisa vidole vinatetemeka, Nimelia Mimi leo
Naogopa nchi yetu inarudi shimoni
MUNGU TUANGALIE TENA WAJA WAKO
R.I.P Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye.Haita tokea katika bara la Afrika Kiongozi aliye kaa Madarakani kwa muda wa miaka 5 na kuweza kuleta maendeleo kama hayo. Mungu amsamehe makosa yake ameweza ,Amedhubutu kwa vitendo kiongozi imara aliyeipenda nchi yake Tumempoteza Shujaa wetu barani Afrika Hayati Rais Doctor Magufuli Mungu apumzishe roho yake kwa amani amin.
Mitanzania unaiacha tu ife ipate taabu kwa sababu haijitambui. Nina uhakika leo Rais Samia akiamua akaze yataanza ohh dikiteta mara ohh maisha magumu. Komeni sana na badoSiku hizi hawataki mabango
Siku hizi hawataki kusikiliza watu, Eti Wana kikaratasi na kalamu wanaandika.
Wakishaondoka, kile kikaratasi kinatupwa!
Alipinga ushoga kwa kumzuia Makonda aka bashite asipambane nao, pia alitatuta matatizo ya wananchi kwa kuwauwa, kuwateka, kuwapiga risasi, kuanzisha genge la wasiojulikana, kufungulia kesi watu za uhujumu uchumi na kupora uchaguziJioneeni wenyewe Wakuu!!.
Hakuwahi kutokea mtu kama huyu, aisee JPM aligusa Maisha ya mnyonge yule wa chini Moja Kwa Moja kabisa.
Naomba Mungu anipe Angalau robo ya Roho ya JPM .
Huyu Mtu hapana, Eeehh , Kwakweli Mungu aliamua kuruhusu apumzike baada ya kazi kubwa aloifanya !!
Ona ulivyoongea, ninawasiwasi na Uwezo wako kichwaniMitanzania unaiacha tu ife ipate taabu kwa sababu haijitambui. Nina uhakika leo Rais Samia akiamua akaze yataanza ohh dikiteta mara ohh maisha magumu. Komeni sana na bado
Hilooo, uone aibuu, alimuua nani?alipinga ushoga kwa kumzuia makonda aka bashite asipambane nao, pia alitatuta matatizo ya wananchi kwa kuwauwa,kuwateka,kuwapiga risas,kuanzisha genge la wasiojulikana,kufungulia kesi watu za uhujumu uchumi na kupora uchaguzi
JPM aliishia Maisha ya chini sanaaa sanaaaaa yaan Urais wake aliufanya kua nabhadhi ya mlala hoi.Jamaa alisikiliza Mana shida za rc or dc wanakuwa bize mno na simu ama michepuko kuliko shida za raia wanaowahudumia so aliamua kuwasadia watu papo kwa papo. Mara kigogo anamdhulumu kikongwe eneo lake anahonga wakubwa anapeta
Sheria ni sheria hata kama ni ngumu.Yule alikuwa shetani tu kama shetani wengine. ila mbele ya Camera utafikiri mtu. Angewajali watu angewalipa hata fidia iliyokuwa halali kwa wakzi wa kimata na mbezi waliobomolewa nyumba zao na kuachwa na vilio eti kisa hawajampigia huyo shetani kura, Kwa chuki zake akabomoa jengo la HQ tanesco Ubungo na hadi leo hakuna kitu kimefanyika, liuaji lile lililokuwa na chuki ya wazi kwa kila mtu wa kaskazini kisa tu waliendelea kabla ya kanda nyingine
Mimi namhesabu kama shetani aliyepewa Ikulu na Mungu akaamua kuangusha utawala wake
Wale aliowalipa Mwanza Je? yeye alisema hadharani wa Mwanza watalipwa kwa sababu walimpigia kura. Aliiba na hela za waathirika wa tetemeko kule Bukoba nayo je? Jamaa alikuwa msanii sana ule upara itakuwa ni wa kurithi huko kuzimuSheria ni sheria hata kama ni ngumu.
Je, wakazi hao walijenga kwenye eneo ambalo ni la barabara? Au barabara iliwafata wao?
Sheria lazima ifuatwe, na ndicho alichosimamia JPM.
JPM hakuwa na roho ya kumuumiza mtu mnyonge!!
Mafisadi na majangili waliyaumiza sababu kwanza yaliiumiza nchi hii, lakini pia, yalitumia nguvu kubwa kutaka kumfanya ashindwe uchaguzi.
Hata kama ni mimi, ningewashughulikia tu.
Jioneeni wenyewe Wakuu!!.
Hakuwahi kutokea mtu kama huyu, aisee JPM aligusa Maisha ya mnyonge yule wa chini Moja Kwa Moja kabisa.
Naomba Mungu anipe Angalau robo ya Roho ya JPM .
Huyu Mtu hapana, Eeehh , Kwakweli Mungu aliamua kuruhusu apumzike baada ya kazi kubwa aloifanya !!
Saanane aliuliwa na CHADEMA, mwulize Dr Slaa. Mtu wa mwisho kumuona akiwa hai alikuwa ni mbowe hoteli ya Protea, hajatoa ripoti hadi leo kwa vile anajua. Azorygwanda aliuliwa na magaidi wa UAMSHO, aliajiriwa na magazeti ya Kenya akawa anapewa breakingnews na magaidi analipwa done nono. Magazeti ya Kenya yalipoona wapelelezi wa Polisi wanamkaribia wakawatonya magaidi wakamuua. Kanguye ni mhutu wa Burundi hili jambo analijua Zito Kabwe - essentially ni mauaji ya kikabila za Nchi jirani. Walioakufa Kibiti Lindi ni magaidi wa UAMSHO walikuwa wanaweka kambi majumbani na misikitini. Kuna wengine wengi CHADEMA Dr Slaa au Dr Mollel anawajua.R.I.P Ben Saanane, Azory Gwanda, Kanguye.
R.I.P Masheikh wote waliotekwa misikitini huko mikoa ya kusini na kuuawa
Poleni sana wananchi walioporwa korosho zao
Na poleni sana wananchi wa Kimara mbezi mliovunjiwa nyumba huku mkiwa na zuio la mahakama ambalo Magufuli hakuliheshimu.