Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Sasa ma RC na DC wa kazi gani kama Rais anatatua migogoro ya mashamba?!
Jamaa alisikiliza Mana shida za rc or dc wanakuwa bize mno na simu ama michepuko kuliko shida za raia wanaowahudumia so aliamua kuwasadia watu papo kwa papo. Mara kigogo anamdhulumu kikongwe eneo lake anahonga wakubwa anapeta