Jamaa alisikiliza Mana shida za rc or dc wanakuwa bize mno na simu ama michepuko kuliko shida za raia wanaowahudumia so aliamua kuwasadia watu papo kwa papo. Mara kigogo anamdhulumu kikongwe eneo lake anahonga wakubwa anapeta
Bashite mwenyewe mambo poaalipinga ushoga kwa kumzuia makonda aka bashite asipambane nao, pia alitatuta matatizo ya wananchi kwa kuwauwa,kuwateka,kuwapiga risas,kuanzisha genge la wasiojulikana,kufungulia kesi watu za uhujumu uchumi na kupora uchaguzi
Siku hizi hawataki mabango
Siku hizi hawataki kusikiliza watu , Et Wana kikaratasi na kalamu wanaandika.
Wakishaondoka, kile kikaratasi kinatupwa !!
Matatizo gani alitatua wakati ndiyo yameongezeka? Unaweza kuorodhesha matatizo aliyotatua?Jioneeni wenyewe Wakuu!!.
Hakuwahi kutokea mtu kama huyu, aisee JPM aligusa Maisha ya mnyonge yule wa chini Moja Kwa Moja kabisa.
Naomba Mungu anipe Angalau robo ya Roho ya JPM .
Huyu Mtu hapana, Eeehh , Kwakweli Mungu aliamua kuruhusu apumzike baada ya kazi kubwa aloifanya !!
Carlos The JackalJioneeni wenyewe Wakuu!!.
Hakuwahi kutokea mtu kama huyu, aisee JPM aligusa Maisha ya mnyonge yule wa chini Moja Kwa Moja kabisa.
Naomba Mungu anipe Angalau robo ya Roho ya JPM .
Huyu Mtu hapana, Eeehh , Kwakweli Mungu aliamua kuruhusu apumzike baada ya kazi kubwa aloifanya !!
Watakuchanganya hao achananaoHilooo, uone aibuu, alimuua nani?
Hao wasojulikana wako wapi?
Uchaguzi gani alipora?
Wako bize na simu na michepuko yao. So Ile kuwatembelea wananchi na kuwauliza Wana shida gani aone anazoweza tatua yeye amekaa anachati,miradi yake,familia na michepuko na kupiga picha na kuingia social networksSasa ma RC na DC wa kazi gani kama Rais anatatua migogoro ya mashamba?!
Nenda kashitaki polisi wewe tufwaaaSaanane aliuliwa na CHADEMA, mwulize Dr Slaa. Mtu wa mwisho kumuona akiwa hai alikuwa ni mbowe hoteli ya Protea, hajatoa ripoti hadi leo kwa vile anajua. Azorygwanda aliuliwa na magaidi wa UAMSHO, aliajiriwa na magazeti ya Kenya akawa anapewa breakingnews na magaidi analipwa done nono. Magazeti ya Kenya yalipoona wapelelezi wa Polisi wanamkaribia wakawatonya magaidi wakamuua. Kanguye ni mhutu wa Burundi hili jambo analijua Zito Kabwe - essentially ni mauaji ya kikabila za Nchi jirani. Walioakufa Kibiti Lindi ni magaidi wa UAMSHO walikuwa wanaweka kambi majumbani na misikitini. Kuna wengine wengi CHADEMA Dr Slaa au Dr Mollel anawajua.
Ingekuwa hivyo basi serikali ingempa Mbowe kesi ya Mauaji ya Ben SaananeSaanane aliuliwa na CHADEMA, mwulize Dr Slaa. Mtu wa mwisho kumuona akiwa hai alikuwa ni mbowe hoteli ya Protea, hajatoa ripoti hadi leo kwa vile anajua. Azorygwanda aliuliwa na magaidi wa UAMSHO, aliajiriwa na magazeti ya Kenya akawa anapewa breakingnews na magaidi analipwa done nono. Magazeti ya Kenya yalipoona wapelelezi wa Polisi wanamkaribia wakawatonya magaidi wakamuua. Kanguye ni mhutu wa Burundi hili jambo analijua Zito Kabwe - essentially ni mauaji ya kikabila za Nchi jirani. Walioakufa Kibiti Lindi ni magaidi wa UAMSHO walikuwa wanaweka kambi majumbani na misikitini. Kuna wengine wengi CHADEMA Dr Slaa au Dr Mollel anawajua.
Wako bize na simu na michepuko yao. So Ile kuwatembelea wananchi na kuwauliza Wana shida gani aone anazoweza tatua yeye amekaa anachati,miradi yake,familia na michepuko na kupiga picha na kuingia social networks
Najua unataka Nini sema Kuna ishu zingine very critical na pia alivyokuwa anatatua shida so alitaka kuwaonyesha rc how to work.Kwa nini badala ya kuwatembela wananchi asiwabadilishe hao ma RC na ma DC ??
Akianza kupita kwa mamilioni ya raia kuwasilikiza matatizo yao si hatafanya kazi nyingine?!
Wewe hapo tatizo alilitatua hujaliona?.Matatizo gani alitatua wakati ndiyo yameongezeka? Unaweza kuorodhesha matatizo aliyotatua?
Papiii na Babu seya Stori yao inajulikana ...Magufuli alipinga vipi ushoga wakati aliwatoa kifungoni Babu Seya na Papii walawiti watoto wa shule? Zaidi akawapa heshima ya kuwapokea Ikulu.
Pamoja sana Mkuu
Niletee hiyo Clip alisema wa Mwanza watalupwa kwakua walimpa Kura.Wale aliowalipa Mwanza Je? yeye alisema hadharani wa Mwanza watalipwa kwa sababu walimpigia kura. Aliiba na hela za waathirika wa tetemeko kule Bukoba nayo je? Jamaa alikuwa msanii sana ule upara itakuwa ni wa kurithi huko kuzimu
Hakika MkuuJPM was exceptional president, charismatic leader
Ushoga sio tatizo Tanzania wala Africa, ni kelele tu za kufuata mkumbo wa culture wars za wazungu huko nje.