Mkuu wangu, kule Jela ,wanafungwa hata wasio na hatia , inategemea tu nani anayekupeleka huko.
Motives za kuachiwa Kwa B na P, zilikua ni zipi Sasa Kwa JPM?.
Tule tutoto tulitotafutwa , najua Sasa hivi tumeshakua tukubwa na rohooo inavisuta.
Bora usemee wee.Ushoga sio tatizo Tanzania wala Africa, ni kelele tu za kufuata mkumbo wa culture wars za wazungu huko nje.
Acha siasa ktk USHOGA,..Babu Seya na Papii walikutwa na HATIA ktk mahakama zote mpaka mahakama Rufani, na mahakama ya Afrika Mashariki.
..Tuache kutetea mambo ya hovyo-hovyo. Hivi wewe unaweza kualika walawiti nyumbani kwako?
..Na ukishawaalika walawiti nyumbani kwako utakuwa huungi mkono ushoga, tena wa kikatili dhidi ya watoto?
Na alikua mbinafsi sana aliamin kila kitu kina -revolve around himselfWrong approach. Mtu mmoja huwezi kunyoosha nchi kubwa kama Tanzania. Kuna kitu kimoja: Mimi huwa nakubali kabisa kuwa Magufuli alikuwa na nia nzuri ya kuijenga Tanzania. Tatizo ni kuwa hakuwa na upeo wa akili unaomwezesha kufikia nia yake. Na zaidi alikuwa mbishi sana asiyependa kuongozwa. Kama angekubali kujishusha, aweke watu wenye utaalam wamshauri (na siyo wapambe kama alivyofanya) angeweza kufanikiwa.
Mbona hitler anaongelewa mpaka leo japokua kafa miaka mingi sana iliyopitaHakuna kama JPM na ukitaka kujua, mtu katangulia mbele za haki, ila watu wanaunda makundi na makundi kupambana na mtu ambae hayupo
Ni wapi na lini lema alisema atakubali mtu auawe kwa sababu ni shogaAcha siasa ktk USHOGA,
Wana CDM wangapi waliohukumiwa vifungo JELA na kuachiwa baada ya kugundulika Hawa na HATIA?
Papi kocha ilikuwa case ya kupika.
CDM msipotoka kupinga USHOGA hadharani mtapotea,
LEMA: Sitakubali mtu auawe sababu ni shoga.
Sheria imesema mtu akibaka mnyama au kuingilia Mwanaume mwenzie kinyume na maumbile ahukumiwe kufungwa maisha au kuuawa.
LISU: Serikali hairuhusiwu kuingilia faragha ya watu wazima vyumbani mwao.
BIBLIA imetamka mashoga wauawe, msipokemea mambo hayo tunapoelekea patakuwa pabaya sana, wananchi watafuata Katiba ya Mbinguni kujichukulia SHERIA mkononi.
ni jukumu lako kutafuta ili ujiridhishe kama ni kweli au laNiletee hiyo Clip alisema wa Mwanza watalupwa kwakua walimpa Kura.
.
Hizi kesi huwa hazina muda wa expire date. Anaweza kabisa muda wowote akashitakiwa. Hata hii ya ugaidi haijafa, ushahidi wa tigopesa uko wazi kabisa aliwalipa makomando waenda Hai kumuua ole Sabaya. Bahati mbaya (nzuri?) wakakamatwa na Kamanda Jumanne wakinywa mbege Rau madukani, la sivyo wangenyongwa.Ingekuwa hivyo basi serikali ingempa Mbowe kesi ya Mauaji ya Ben Saanane
Jioneeni wenyewe Wakuu!
Hakuwahi kutokea mtu kama huyu, aisee JPM aligusa Maisha ya mnyonge yule wa chini Moja Kwa Moja kabisa.
Naomba Mungu anipe Angalau robo ya Roho ya JPM.
Huyu Mtu hapana, Eeehh, Kwakweli Mungu aliamua kuruhusu apumzike baada ya kazi kubwa aloifanya!
View attachment 2561435
Pia usisahau hata kaburi linaweza kupigwa pingu na maweHizi kesi huwa hazina muda wa expire date. Anaweza kabisa muda wowote akashitakiwa. Hata hii ya ugaidi haijafa, ushahidi wa tigopesa uko wazi kabisa aliwalipa makomando waenda Hai kumuua ole Sabaya. Bahati mbaya (nzuri?) wakakamatwa na Kamanda Jumanne wakinywa mbege Rau madukani, la sivyo wangenyongwa.
Tunamshukuru sana Mungu kutuondolea zimu lile mjomba wakoHizi kesi huwa hazina muda wa expire date. Anaweza kabisa muda wowote akashitakiwa. Hata hii ya ugaidi haijafa, ushahidi wa tigopesa uko wazi kabisa aliwalipa makomando waenda Hai kumuua ole Sabaya. Bahati mbaya (nzuri?) wakakamatwa na Kamanda Jumanne wakinywa mbege Rau madukani, la sivyo wangenyongwa.
Mko wengi. Watu wa Dodoma wana maoni tofauti. Na SGR watu wote kanda ya maziwa makuu wanashukuru, zamani ikiitwa the Dark Continent sasa imefumuka asante Magufuli. Bila kusahau Watanzania wa kawaida waliokuwa wameachwa nyuma lami, shule, hospitali za rufaa, airport, CRDB, tigopesa, zamani zote hizizilikuwa kwa makamanda wa CHADEMA pekee. Pia kuna waliotaka rule of law, sheria, taratibu na kanuni, zamani ilikuwa matajiri na makamanda wa CHADEMA hawaguswi. Wengi pia wanafurahia makanikia yetu sasa yanawaidi Watanzania wote si mawakili wa mabeberu na makamanda wao, sasa mtu anakula kwa jasho lake. Pia kuna maelfu kwamaelfu waliokuwa wanaibiwa kura zao au kwa ulaghai au kikwelikweli, wapiga kura wa Rombo, Arusha, Machame, Kirua Vunjo, Sanya, na miji mikubwa ya madiaspora Mbeya, Iringa, Ubungo, Mwanza, zamani waliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi inatawaliwa kwa Ukabila hadi Magu na Samia walipotoa Ilani nzuri makamanda wakuu hadi leo hawana ubunge hawatomsamehe marehemu. Of course hawa wote ni watu wazima, wamepokonywa to ge mdomoni, they are fighting back. But where! Hamtoweza.Tunamshukuru sana Mungu kutuondolea zimu lile mjomba wako
Utaendelea kuabudu mizimu ya koleroMko wengi. Watu wa Dodoma wana maoni tofauti. Na SGR watu wote kanda ya maziwa makuu wanashukuru, zamani ikiitwa the Dark Continent sasa imefumuka asante Magufuli. Bila kusahau Watanzania wa kawaida waliokuwa wameachwa nyuma lami, shule, hospitali za rufaa, airport, CRDB, tigopesa, zamani zote hizizilikuwa kwa makamanda wa CHADEMA pekee. Pia kuna waliotaka rule of law, sheria, taratibu na kanuni, zamani ilikuwa matajiri na makamanda wa CHADEMA hawaguswi. Wengi pia wanafurahia makanikia yetu sasa yanawaidi Watanzania wote si mawakili wa mabeberu na makamanda wao, sasa mtu anakula kwa jasho lake. Pia kuna maelfu kwamaelfu waliokuwa wanaibiwa kura zao au kwa ulaghai au kikwelikweli, wapiga kura wa Rombo, Arusha, Machame, Kirua Vunjo, Sanya, na miji mikubwa ya madiaspora Mbeya, Iringa, Ubungo, Mwanza, zamani waliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi inatawaliwa kwa Ukabila hadi Magu na Samia walipotoa Ilani nzuri makamanda wakuu hadi leo hawana ubunge hawatomsamehe marehemu. Of course hawa wote ni watu wazima, wamepokonywa to ge mdomoni, they are fighting back. But where! Hamtoweza.
Tanzania bila jiwe imewezekanaMko wengi. Watu wa Dodoma wana maoni tofauti. Na SGR watu wote kanda ya maziwa makuu wanashukuru, zamani ikiitwa the Dark Continent sasa imefumuka asante Magufuli. Bila kusahau Watanzania wa kawaida waliokuwa wameachwa nyuma lami, shule, hospitali za rufaa, airport, CRDB, tigopesa, zamani zote hizizilikuwa kwa makamanda wa CHADEMA pekee. Pia kuna waliotaka rule of law, sheria, taratibu na kanuni, zamani ilikuwa matajiri na makamanda wa CHADEMA hawaguswi. Wengi pia wanafurahia makanikia yetu sasa yanawaidi Watanzania wote si mawakili wa mabeberu na makamanda wao, sasa mtu anakula kwa jasho lake. Pia kuna maelfu kwamaelfu waliokuwa wanaibiwa kura zao au kwa ulaghai au kikwelikweli, wapiga kura wa Rombo, Arusha, Machame, Kirua Vunjo, Sanya, na miji mikubwa ya madiaspora Mbeya, Iringa, Ubungo, Mwanza, zamani waliaminishwa kuwa Tanzania ni nchi inatawaliwa kwa Ukabila hadi Magu na Samia walipotoa Ilani nzuri makamanda wakuu hadi leo hawana ubunge hawatomsamehe marehemu. Of course hawa wote ni watu wazima, wamepokonywa to ge mdomoni, they are fighting back. But where! Hamtoweza.
Acha siasa ktk USHOGA,
Wana CDM wangapi waliohukumiwa vifungo JELA na kuachiwa baada ya kugundulika Hawa na HATIA?
Papi kocha ilikuwa case ya kupika.
CDM msipotoka kupinga USHOGA hadharani mtapotea,
LEMA: Sitakubali mtu auawe sababu ni shoga.
Sheria imesema mtu akibaka mnyama au kuingilia Mwanaume mwenzie kinyume na maumbile ahukumiwe kufungwa maisha au kuuawa.
LISU: Serikali hairuhusiwu kuingilia faragha ya watu wazima vyumbani mwao.
BIBLIA imetamka mashoga wauawe, msipokemea mambo hayo tunapoelekea patakuwa pabaya sana, wananchi watafuata Katiba ya Mbinguni kujichukulia SHERIA mkononi.
Ndio,..wewe ndiye unayeleta siasa kwenye suala la ushoga kwasababu umeingiza masuala ya vyama.
..Na suala hili nina mashaka wanaolisemasema hawana malengo ya kushughulika nalo, bali wameweka " mtego " wa kisiasa.
..Sheria za Tanzania zipo wazi zinakataza mambo ya ushoga na ulawiti. Kwa hiyo tujikite ktk sheria yetu na sio masuala ya vyama.
..Jambo lingine tujitazame kama jamii. Ukisoma mitandao na kauli za baadhi ya wachangiaji utaona kuna hali ya kukubali,na kusifia ufi.raji.
..Sio jambo la ajabu kusoma kijana akimtukana mwenzake kuwa " nitakupasua marinda..." Kwa msingi huo jamii yetu imejenga uvumilivu au uhalali kwa wa.firaji.
..Kwa maoni yangu jamii ikatae wa.firaji na wa.firwaji. Tukivumilia upande mmoja tutakwama.
..Ushauri wangu ni kwamba ili tufanikiwe ktk kuudhibiti ushoga ktk jamii yetu basi tuweke kando mambo ya siasa. Tuzungumze kama WATANZANIA.
Tusubirini. Makamanda mnataka IGP, Paroko, Mufti, Refa, na Kapteni wa Yanga wote wachaguliwe na Mangi kwa ukabila, wamesahau kabisa hapo zamani Waziri Mkuu alitoka kwao mara 4, akiwamo Naibu Waziri Mkuu, na Waziri wa Fedha mara 4, watendaji wote Taasisi nyeti za Kitaifa walitoka kwa makamanda, sasa hamtaki wengine wawe na Waziri Mkuu au hata Meneja wa TAZARA, nao wajenge kwao? Huo ukabila utawatafuna, Nyerere aliufuta kwa kutumia JKT, shule za Boarding, Kanisa na TANU, nyie mnataka kurudisha Ukabila tena? Unamkumbuka Jenerali Muhidin Kimario, Shujaa wa Nchi hii, alikuwa Katibu wa CCM Kusini Pemba akaitwa vitani kuigomboa Nji yake dhidi ya nduli Idi Amin aliyejitia anatetea Uislamu, yaani mnataka General Kimario awe Mangi wa Uswaa tu asitutumikie Watanzania wengine? Kama mkianza tena jiwe litarudi au yatatokea mawe zaidi, hamtoyaweza good night.Tanzania bila jiwe imewezekana