Kutatua matatizo ya wanyonge hapo hapo ulikuwa ni USANII mtupu wa kuwa pumbaza walioitwa "wanyonge". Kukubali kuitwa mnyonge ni kujidhalilisha mwenyewe, kwani Mungu amemuumba binadamu akampa na akili. Hivyo ukiweka nguvu kidogo unaweza kupiga hatua kiuchumi.

Magufuli alikuwa mlevi wa MISIFA, wakati Samia ametanguliza kazi na matokeo kwanza
 
JPM was exceptional president, charismatic leader
Sidhani kama ni kweli JPM alikuwa charismatic leader. Tuangalie definition;

Charismatic leadership is defined by a leader who uses his or her communication skills, persuasiveness, and charm to influence others. Charismatic leaders, given their ability to connect with people on a deep level, are especially valuable within organizations that are facing a crisis or are struggling to move forward.
 
Alipinga ushoga kwa kumzuia Makonda aka bashite asipambane nao, pia alitatuta matatizo ya wananchi kwa kuwauwa, kuwateka, kuwapiga risasi, kuanzisha genge la wasiojulikana, kufungulia kesi watu za uhujumu uchumi na kupora uchaguzi
Makonda mwenyewe shoga tu, muangalie hapo katoka wapi na mzungu hajachomekea shati!!
Your browser is not able to display this video.
 
Sijui hata hili eneo walopewa Wajane, linaendeleaje?
Au magereza wameshalinyakua Tena
Msoga Gang/Chaga Gang karibuni, najua mtatumia Uongo, ila ukweli ndio huo!
Kuna Chagga Gang tena!? Si ungesema tu Asali Gang kama lile la Makanikia Gang almaaruf kama Sukuma Gang [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Rais hawezi kuongoza nchi kwa kusikiliza shida za kila mtu barabarani na kwenye mikutano. Rais anatakiwa ajishughulishe na mambo makubwa ya nchi kama sera na sheria za kitaifa na kimataifa na mikataba mikubwa mikubwa.
waliojishughulisha na mambo makubwa mbona walishindwa na maisha ya wananchi yakaendelea kuwa duni

sidhani kama alikuwa anasikiliza shida za kila mtu hivi pangetosha kweli nadhani hata miaka 10 isingemtosha

acheni kukuza mambo
 
JPM atabaki kuwa Rais bora kuwahi kutokea Tanzania.

Anakumbukwa na atakumbukwa daima.
 
JPM aliishia Maisha ya chini sanaaa sanaaaaa yaan Urais wake aliufanya kua nabhadhi ya mlala hoi.

Jamaa alikua mkweli sanaz aliyevaa Viatu vya watu
Hasa wanyonge wa mikoa ya kusini aliwasaidia mno Kwa kuwapora fedha zao za korosho na kuwanyang'anya korosho zao Kwa kutumia magari ya jeshi halafu wabunge wao walipohoji wakaambiwa watapigwa wao na shangazi zao
 
Ni katika kipindi hicho ndipo tulipata Ushoga-Dola...yaani ushoga ulihama kutoka kwenye taarabu na kuingia katika mifumo yenye nguvu za kuendesha nchi, pia kuwatendea wapinzani matendo ya kinyume cha maumbile ikawa ni kati ya adhabu rasmi kwa kila aliyeonekana kuwa mkosoaji wa serikali.
Wengi wa waliowahi kutekwa walipoachiwa ilibifi wafanyiwe counselling sana ili kuwarudisha sawa.
 
Ila wale wa Mwanza waliojenga eneo la Barbara na airport akasema wasibomolewe lazima waangaliwe Kwa jicho la huruma kisa eti ndio waliompigia kura[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaani Sheria ifanye kazi Kwa usiowapenda ila ipindishwe Kwa usiowapenda
 
Aiseeee muacheni apumzike,mnavyozidi kuleta thread zenu ndivyo anavyozidi kupopolewa.

Kiranga anakwambia kwa watu walioona utawala wa magufuli hauwezi kuwaambia hivyo wakakubali labda usubiri vizazi vya mbele huko ambavyo vitakuwa havijauona utawala wake ndiyo uwadanganye.
 
Papiii na Babu seya Stori yao inajulikana .
Inajulikana vipi una uthibitisho upi zaidi ya porojo za vijiweni? Watu wamehukumiwa mahakamani wamekata rufaa mpaka mahakama ya rufaa na mahakama ikathibitisha walihusika na tuhuma zilizokua zinawakabili? Kwa hiyo wewe na Magufuli ndio mlikua na akili kuliko majaji?
 
Ujinga mtupu, machinga wapo pale pale.
Kina mama ntlie hawajatajirika.
Changudoa wapo tele
Sasa wanyoge ni nani unaowajua wewe.
 
BUNGE la Uganda, Leo wamepitisha mswada dhidi ya Ushoga.


Mashoga Uganda Sasa watatafuta pakukimbilia.
Tatizo ni pale waasherati na wazinzi mnawapiga vita mashoga ilhali zote ni dhambi mbele za MUNGU rejea 1korintho 6:9-10, ona pia Galatia 5:19-21
 
Mitanzania unaiacha tu ife ipate taabu kwa sababu haijitambui. Nina uhakika leo Rais Samia akiamua akaze yataanza ohh dikiteta mara ohh maisha magumu. Komeni sana na bado
Sio kukaza kwani amelegeza nini zaidi ya kuwapiga marufuku watu wasiojulikana?
 
Wenzetu mlitatuliwa matatizo gani tuyafahamu?

Shida za maji huko Chato zilikwisha?

Mlijengewa Vituo vya Afya Kila kata na zahanati Kila Kijijini huko kwenu?

Au Watoto wenu walikuwawanaenda shule na kukuta dawati na walimu wakutosha?

Ama wakuymlikuwa Matajiri?
 
Sijui hata hili eneo walopewa Wajane, linaendeleaje?
Au magereza wameshalinyakua Tena
Msoga Gang/Chaga Gang karibuni, najua mtatumia Uongo, ila ukweli ndio huo!
Tatizo mnavamia maeneo tengefu ya taasisi au watu wengine mkiondolewa Kwa mujibu wa Sheria mnaanza kulialia fuata Sheria na taratibu za nchi hakuna atakayekugusa wewe msukuma
 
Makonda pekee ndio alipinga ushoga hadharani baada ya kelele akina Magufuli waliokuja na statement wakisema anayoyafanya sio msimamo wa serikali Bali yeye binafsi..

Tafuta nyumbu ndio wadanganye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…