May his soul rest in hellR.I.P JPM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
May his soul rest in hellR.I.P JPM
Je Ben yeye alazwe wapi kama Jiwe akilazwa pema?Mungu amlaze pema
Kabisa, alikuwa ukimpinga anakusepishaNi kweli ukimsikiliza kwa makini hatuba zake hakuwa binadamu wa kawaida
Hata kugawa nyumba za serikali kwa ****wake pia ilikuwa nia nzuri sema hatukumuelewaMagu alikuwa na nia nzuri moyoni but plan mbaya
So kilichokuliza ni nini mkuu, uyu ndo chanzo cha matatizo yote mpaka bandari zinauzwa, alikwiba uchaguzi wote 2020 ,leo tunaona tunao wabunge wa aina ipi,Ndugu zangu kwa kuwa bado nina huzuni kuu wacha nikuachieni kitu ambacho kimenifanya leo nilie kama mtoto mwenyezi Mungu amrehemu huko alipo
Two dimensional semantics, una maana gani hakuwa binadamu wa kawaida?Ni kweli ukimsikiliza kwa makini hatuba zake hakuwa binadamu wa kawaida
We utakuwa mwehuMpendwa wetu Magufuli fanya urudi baba wanao tunateseka sana we miss you our beloved President.
Mwenzenu nalia kila mara nikiitizama hii picha.
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
View attachment 2653095
Ujumbe ukufikie huko ulipo Baba, Mlinzi wa rasilimali za Tanganyika na Taifa letu, kwamba ile Bandari ya salama uliyo ivisit, siku chache baada ya kuapishwa, Mwenzako imemshinda kaanza nayo kwa mwarabu...."Karibu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.
Labda wewe na familia yakoKaribu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.
Hapana, watanzania wote tunamkumbuka isipokuwa wewe tu.Labda wewe na familia yako
TrueKaribu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.
Yule mwehu aliyeua uchumi nani amkumbuke. Hakuamini katika ajira za vijana kabisa ndoa zikaanza kusambaratika na ndoto za watu hasa graduates zikapotea kabisa. Mama anarudisha ndoto zao taratibu na kwa kuanzia tu tayari kaajiri walimu na madaktari elfu 13 na kila ukikatiza Sasa hivi kila Kona Kuna ajira zinamwagwa tuKaribu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.
Kumkumbuka rais wa nchi imekuwa zambi? Mbona mnakuwa wajinga hivi. Huyu ni rais piNashauri verification zisiangakie sana vitambulisho vya nida.
Zingatia madaNashauri verification zisiangakie sana vitambulisho vya nida.
Alikuwa Rais Bora sana, kwa nyakati hizi za mapinduzi ya kiuchumi huyu ndiye alistahili.Karibu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.