Mzalendo Uchwara
JF-Expert Member
- Jan 26, 2020
- 4,437
- 13,836
Sana tuAlikuwa Rais Bora sana, kwa nyakati hizi za mapinduzi ya kiuchumi huyu ndiye alistahili.
Kitu pekeee USA anafanya ni kumuangusha mwarabu, na kwa huu ugunduzi wa vifaa vya umeme trust me mwarabu anaenda kuangukaMkataba ungekuwa unasema hivyo kama anavyosema waziri mkuu Kassim Majaliwa tusingelalamika.
Sasa hivi ufafanuzi unatolewa mwingine na mkataba unasema mengine, sisi watanzania hatutasikiliza chochote ambacho hakipo kwenye mkataba ,yatakuwa ni matumizi mabaya ya masikio yetu.
Hata chifu Mangungo wa Msovera alipewa maelezo mazuri sana
Kuna gunduzi nyingi sasa hivi kama magari ya kutumia umeme, gesi na mwarabu anategemea mafuta kwa hiyo walishaona mbali sana ndiyo maana ya mikataba ya milele.
Next generation biashara ya mafuta inaweza kuja kuwa ya kawaida sana lzm waandae pa kukimbilia
Duh! Ukipima hali yako kwa JPM na sasa kwa SSH unaona kama umeimarika sana?Y
Yule mwehu aliyeua uchumi nani amkumbuke. Hakuamini katika ajira za vijana kabisa ndoa zikaanza kusambaratika na ndoto za watu hasa graduates zikapotea kabisa. Mama anarudisha ndoto zao taratibu na kwa kuanzia tu tayari kaajiri walimu na madaktari elfu 13 na kila ukikatiza Sasa hivi kila Kona Kuna ajira zinamwagwa tu
Duh! Ukipima hali yako kwa JPM na sasa kwa SSH unaona kama umeimarika sana?
Duh! Ukipima hali yako kwa JPM na sasa kwa SSH unaona kama umeimarika sana?
Umepata ajira ipiii?Sasa hivi nimepata ajira wakati kipindi Cha jpm nilikuwa natembeza nguo tu barabarani kama chikolaas
TakukuruUmepata ajira ipiii?
Takukuru ni miongoni mwa taasisi nyeti sana nashangaa why mtu kaka ww umepata nafasi ya kuwa mwaji4iwa wa taasisi hiyooTakukuru
Unaweza kupata ajira Kwa njia Moja ama nyingne lakin kikubwa ni kwamba kile kipato ambacho ungekipata wakati WA jpm, si sawa na kipato Cha ssh ambacho ulicho nacho Kwa sasa, uwe unaangalia na kupima usiangailie tu ww angalia uchumi na jamii Kwa ujumla maana kipato unachokipata ww kinategemeana na jamii inayokuzunguka, jamii inayokuzunguka ikianguka jua kabisa huna kabisa hicho kipato ulichonacho Kwa sasSasa hivi nimepata ajira wakati kipindi Cha jpm nilikuwa natembeza nguo tu barabarani kama chikolaas
Karibu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.
Unawez kupata ajila Kwa njia Moja ama nyingne lakin kikubwa ni kwamba kile kipato ambacho ungekipata wakati WA jpm, si sawa na kipato Cha ssh ambacho ulicho nacho Kwa sasa,, uwe unaangalia na kupima usiangailie tu ww angalia uchumi na jamii Kwa ujumla maana kipato unachokipata ww kinategemeana na jamii inayokuzunguka, jamii inayokuzunguka ikianguka jua kabisa huna kabisa hicho kipato ulichonacho Kwa sas
ChuUnawez kupata ajila Kwa njia Moja ama nyingne lakin kikubwa ni kwamba kile kipato ambacho ungekipata wakati WA jpm, si sawa na kipato Cha ssh ambacho ulicho nacho Kwa sasa,, uwe unaangalia na kupima usiangailie tu ww angalia uchumi na jamii Kwa ujumla maana kipato unachokipata ww kinategemeana na jamii inayokuzunguka, jamii inayokuzunguka ikianguka jua kabisa huna kabisa hicho kipato ulichonacho Kwa sas
unapotea ndugu jitambue, ajila ni nafasi ya dhamana na bahati hakuna mtu anapata tu ajila bila bahat ama kuvushwa na ndugu jamaaa na malafiki hata siku Moja, ila jambo kubwa ni kutokaNa na uchumi WA taifa ukiwa umesimama imala na uongoz bola ndo utawez KUFANIKIWA maisha mushukulu mungu Kwa hatua uliyopo lakin si saihii na JPM UONGOzi wake ahxntKipindi Cha jpm nilitembeza mitumbs mpaka kila mtu anidharau Sasa heshima yangu imerudi. Sasa hivi dreams za vijana kuwa na maisha Bora zimerudi ila wale mbumbu ambao hawana shule wanenina mana walitamani wote tuwe sawa kama kipindi kileeee Cha jpm.
unapotea ndugu jitambue, ajila ni nafasi ya dhamana na bahati hakuna mtu anapata tu ajila bila bahat ama kuvushwa na ndugu jamaaa na malafiki hata siku Moja, ila jambo kubwa ni kutokaNa na uchumi WA taifa ukiwa umesimama imala na uongoz bola ndo utawez KUFANIKIWA maisha mushukulu mungu Kwa hatua uliyopo lakin si saihii na JPM UONGOzi wake ahxnt
Haikuwa bahati yako utawala ulee,, kuna watu kibao walipata ajira kipindi hicho,, JWTZ, TISS, TAKUKURU, ELIMU, AFYA, POLISI nkNitasemaje mi mwehu wakati nimepata ajira nzuri chini ya samia
Hakuna nafuu yoyote. Jana taahira, leo malaya.Mataahira yatakwambia bora yauzwe uarabuni kuliko yule mtu kisa lisu kupigwa risasi