Hivi ukimwangalia mamako mzazi na ukoo wako mna utajiri gani?U
Ukitaka kula kubaki kuliwa pia. Hii ndo principal ya maisha. Ukiogopa kuliwa utakufa maskini kwa ujinga wako. Jpm alikuwa anawajaza ujinga ndo maana maskini walikuwa wanaongea kila uchwao na yeye anawaambia eti. Umaskini ndo uzalendo wenyewe. Fala yule
Nina div ones both A na O levels ndo mana namuona yule bwana alikuwa kichaa na hakustahili hata kuwa waziriItakua ulifeli fom foo kama huyu wa sasa aliyewatetea vyeti feki.
Nyie machawa wa mama mna kazi sana!Ajira kwa Sasa zimejaa kila Kona na juzi juzi tu ajira elfu 13 zimetolewa kwa kuanzia na Bado mazuri yanakuja be patient
Huwezi kuwa na one ukatetea mkataba wa milele.Nina div ones both A na O levels ndo mana namuona yule bwana alikuwa kichaa na hakustahili hata kuwa waziri
Nyie machawa wa mama mna kazi sana!
Hapa nimegundua kitu kwako, udini umekujaa. Maana wanaomtetea Samia wote ni kwa sababu ya udini tu
Ukiachana na huo udini shule pia ni tatizo.Nyie machawa wa mama mna kazi sana!
Hapa nimegundua kitu kwako, udini umekujaa. Maana wanaomtetea Samia wote ni kwa sababu ya udini tu
Ile ni security kwa mwekezaji. Mwekezaji is always risk sensitive maana halazimiki kuwekeza kwako wengi wanamhitajiHuwezi kuwa na one ukatetea mkataba wa milele.
Ukiachana na huo udini shule pia ni tatizo.
Aiseee Magufuli kafufuka kusemea mkataba wa BandariKaribu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.
=======
Hayati Magufuli: Kila mkataba unapotengenezwa huwa una kipengele cha kuvunja, zinavunjika ndoa sembuse mkataba! Ndoa unapendana na mke wako, na mme wako, my honey, my bibi I love you. Baadae mnatoka pale mnatukanana mnasema kwaheri ya kuonana sembuse mikataba hii?
Ni lazima muisimamie mikataba hii, muireview upya, nazungumza hili kwa uwazi ili kila mmoja aelewe. Tunawapenda wawekezaji kwa njia ya PPP lakini ni lazima iwe win-win situation, tumechoka kufanyiziwa biashara na matapeli.
View attachment 2665623
Kati ya maraisi wa ovyo kuwahi tokea ni jpm , alikuwa mbinafisi , mwizi, muuaji, na mkandamiza haki za raiaKaribu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.
=======
Hayati Magufuli: Kila mkataba unapotengenezwa huwa una kipengele cha kuvunja, zinavunjika ndoa sembuse mkataba! Ndoa unapendana na mke wako, na mme wako, my honey, my bibi I love you. Baadae mnatoka pale mnatukanana mnasema kwaheri ya kuonana sembuse mikataba hii?
Ni lazima muisimamie mikataba hii, muireview upya, nazungumza hili kwa uwazi ili kila mmoja aelewe. Tunawapenda wawekezaji kwa njia ya PPP lakini ni lazima iwe win-win situation, tumechoka kufanyiziwa biashara na matapeli.
View attachment 2665623
Utakuwa jinga tuKati ya maraisi wa ovyo kuwahi tokea ni jpm , alikuwa mbinafisi , mwizi, muuaji, na mkandamiza haki za raia
Ulisoma darasa moja na babu tale.Nina masters ya international finance ndo mana najua kila kitu
Pamoja na miujiza yote lakini hawakumwamini Yesu wakati ule wakamuua. Leo hii Dunia nzima ni Yesu hata waislamu wanamjua nabii issaY
Yule mwehu aliyeua uchumi nani amkumbuke. Hakuamini katika ajira za vijana kabisa ndoa zikaanza kusambaratika na ndoto za watu hasa graduates zikapotea kabisa. Mama anarudisha ndoto zao taratibu na kwa kuanzia tu tayari kaajiri walimu na madaktari elfu 13 na kila ukikatiza Sasa hivi kila Kona Kuna ajira zinamwagwa tu
Ficha kibuyu hicho kichwaniHapana, watanzania wote tunamkumbuka isipokuwa wewe tu.
Utajinyonga maana Magufuli atakuwepo milele tofauti na watu wakoFicha kibuyu hicho kichwani
Hata Yesu walimkataaaKati ya maraisi wa ovyo kuwahi tokea ni jpm , alikuwa mbinafisi , mwizi, muuaji, na mkandamiza haki za raia
Wakati umefika mkawafungulie kesi za jinai na mkatoe uthibitisho mahakamani why wapo nje? Napata ukakasi sana kuaminiHiyo TAKATAKA inakumbukwa na wajinga tu.
Very unfortunate nation. Yaani ukitaka kujua kuwa Magufuli alikuwa mtu wa HOVYO angalia watu ambao aliwakumbatia kama wasaidizi wa karibu.
1. Daud Bashite aka Makonda
2. Lengai Ole Sabaya
3. Mrisho Gambo
Hiyo mijitu yote ni takataka, miuaji, mijitu ya unyang'anyi na iliyokosa maadili. Still wapumbavu bado wanamuita Magufuli shujaa wao
Ndo
Kufunga mikanda ilikuwa ujinga wa jpm ndo mana Samia amekuja kumproove wrong kwa kuwaletea ahueni vijana badala ya kutembeza nguo na vyombo barabari na degree zao. Hayo tuwaachie darasa la saba
Si tahira tu ni mweu kabisa na kijana wa ovyo aliyejawa na ubinafsi wa kupewa pipi.Wewe ni taahira
Hata mimi ningekuwa mtawala, Lissu angeliwa kichwa.Mataahira yatakwambia bora yauzwe uarabuni kuliko yule mtu kisa Lissu kupigwa risasi