Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
U

Ukitaka kula kubaki kuliwa pia. Hii ndo principal ya maisha. Ukiogopa kuliwa utakufa maskini kwa ujinga wako. Jpm alikuwa anawajaza ujinga ndo maana maskini walikuwa wanaongea kila uchwao na yeye anawaambia eti. Umaskini ndo uzalendo wenyewe. Fala yule
Hivi ukimwangalia mamako mzazi na ukoo wako mna utajiri gani?

Hakika Samia bora awauze huko kwa waraabu tu wapumbavu nyie!
 
Ajira kwa Sasa zimejaa kila Kona na juzi juzi tu ajira elfu 13 zimetolewa kwa kuanzia na Bado mazuri yanakuja be patient
Nyie machawa wa mama mna kazi sana!


Hapa nimegundua kitu kwako, udini umekujaa. Maana wanaomtetea Samia wote ni kwa sababu ya udini tu
 
Mi ni mkristo tena mkatoliki ila nasema ukweli wa moyo wangu yule jamaa alikuwa anatupeleka Chaka tena Bora mungu kamuwahi mana angepinduliwa na jeshi kwa kukosa mishahara ya kuwalipa one day mana wawekezaji wote wangekimbua nchi na wakabaki mahinga ambao hawalupi Kodi
Nyie machawa wa mama mna kazi sana!


Hapa nimegundua kitu kwako, udini umekujaa. Maana wanaomtetea Samia wote ni kwa sababu ya udini tu
 
Nyie machawa wa mama mna kazi sana!


Hapa nimegundua kitu kwako, udini umekujaa. Maana wanaomtetea Samia wote ni kwa sababu ya udini tu
Ukiachana na huo udini shule pia ni tatizo.
 
Karibu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.

=======

Hayati Magufuli: Kila mkataba unapotengenezwa huwa una kipengele cha kuvunja, zinavunjika ndoa sembuse mkataba! Ndoa unapendana na mke wako, na mme wako, my honey, my bibi I love you. Baadae mnatoka pale mnatukanana mnasema kwaheri ya kuonana sembuse mikataba hii?

Ni lazima muisimamie mikataba hii, muireview upya, nazungumza hili kwa uwazi ili kila mmoja aelewe. Tunawapenda wawekezaji kwa njia ya PPP lakini ni lazima iwe win-win situation, tumechoka kufanyiziwa biashara na matapeli.

View attachment 2665623
Aiseee Magufuli kafufuka kusemea mkataba wa Bandari
 
Karibu Ndugu marafiki Tumkumbuke Ndugu yetu kipenzi. Mwenye chochote kizuri a post hapa.

=======

Hayati Magufuli: Kila mkataba unapotengenezwa huwa una kipengele cha kuvunja, zinavunjika ndoa sembuse mkataba! Ndoa unapendana na mke wako, na mme wako, my honey, my bibi I love you. Baadae mnatoka pale mnatukanana mnasema kwaheri ya kuonana sembuse mikataba hii?

Ni lazima muisimamie mikataba hii, muireview upya, nazungumza hili kwa uwazi ili kila mmoja aelewe. Tunawapenda wawekezaji kwa njia ya PPP lakini ni lazima iwe win-win situation, tumechoka kufanyiziwa biashara na matapeli.

View attachment 2665623
Kati ya maraisi wa ovyo kuwahi tokea ni jpm , alikuwa mbinafisi , mwizi, muuaji, na mkandamiza haki za raia
 
Y

Yule mwehu aliyeua uchumi nani amkumbuke. Hakuamini katika ajira za vijana kabisa ndoa zikaanza kusambaratika na ndoto za watu hasa graduates zikapotea kabisa. Mama anarudisha ndoto zao taratibu na kwa kuanzia tu tayari kaajiri walimu na madaktari elfu 13 na kila ukikatiza Sasa hivi kila Kona Kuna ajira zinamwagwa tu
Pamoja na miujiza yote lakini hawakumwamini Yesu wakati ule wakamuua. Leo hii Dunia nzima ni Yesu hata waislamu wanamjua nabii issa
 
Hiyo TAKATAKA inakumbukwa na wajinga tu.
Very unfortunate nation. Yaani ukitaka kujua kuwa Magufuli alikuwa mtu wa HOVYO angalia watu ambao aliwakumbatia kama wasaidizi wa karibu.

1. Daud Bashite aka Makonda
2. Lengai Ole Sabaya
3. Mrisho Gambo

Hiyo mijitu yote ni takataka, miuaji, mijitu ya unyang'anyi na iliyokosa maadili. Still wapumbavu bado wanamuita Magufuli shujaa wao
Wakati umefika mkawafungulie kesi za jinai na mkatoe uthibitisho mahakamani why wapo nje? Napata ukakasi sana kuamini
 
Back
Top Bottom