Mwehu ni wewe usiejitambua, ndio maana umegombana na mzazi wako.
 
Takataka ni wewe na wazazi wako!

Ndio maana Samia akingalia watu wenye akili mavi kama wewe anaishia kuwauza kwa warabu tu!

Ngoja waarabu watawale mtapigwa mtungo hadi mkome
Nafuu kuuzwa kwa waarabu kuliko kutawaliwa na DIKTETA wa Chato
 
Kuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika.
Kwani sasahivi hiyo nyongeza ya mshahara na kupanda madaraja imeweza kulingana na mfumuko wa bei za bidhaa sasahivi si bora Magufuli aliyeweza kudhibiti mfumuko wa bei za bidhaa hata kama hakupandisha mishahara na madaraja
 
Chato ni Congo? Hapastahili maendeleo ukiwachunguza wanaopiga kelele kuhusu Chato ni hawa vyeti feki, walamba asali, majizi, wauza madawa ya kulevya wanatumia Chato kama kichaka cha kutoa povu la chuki zao
 
Naimejifunza kuhusu yasiyo tabirika, (uncertainty), kwenye biashara ambayo husabishwa na maamuzi ya kisiasa kwakifupi maamuzi ya kisiasa yanaweza sababisha biashara zikue ama zife kabisa
 
Udikteta na kuua watanzania. Kutoajiri na kusababisha jam ya wahitimu mtaani. Kutopandisha mishahara na kubana uhuru wa kiasiasa.
Yote haya Mama ameyarekebisha. Swali jingine bwana sukumagang?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…