17 march 2021, wengi wa watanzania wataendelea kuilaani hiyo siku na kukiwapo watu ambao ni sababu ya kifo hicho nao wataendelea kulaaniwa na hiyo laana iwe hadi juu ya vizazi vyao vyote, Na ikiwa ni mapenzi ya Mungu Basi Mungu atukuzwe Milele na jina lake libarikiwe
 
Ni mzee wa 60, Ila niliona picha yake machozi yananindoka. Kama Ni Mungu poa, Ila Kama kuna binadamu, alaaniwe.
 
Kuua na kuteka watu
 
Basi yule Akida aliyekuwa amesimama pembeni akimuangalia Yesu Kristo pale Juu ya Msalaba alijipigapiga kifua akasema " Hakika Huyu Ni Mwana wa Mungu wa mbinguni"

Itoshe tu kusema Shujaa Magufuli Sisi Tuliokuaminia Tunatembea Vifua Mbele

Mungu wa mbinguni mbariki Mpendwa Tundu Antipas Lisu

Mlale Unono πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ”₯πŸ˜€πŸ˜„
 
Ukweli siku zote utabaki ukweli walikuwa wanamkubali kimoyomoyo sasa wanatamka hadharani!
 
You showed the entire country for a leader ,,, being like .....
That's is a gift , a real gift to get to a country like this , hard to get leader like you πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ......πŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎπŸ™πŸΎ




What you left behind , will cost a nation for a un-numbered years to come '!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
I expect this to be deleted in 2 minutes from now !!!!!!!!

Thank you in advance.....
 
Huyu mwamba alitufundisha mambo mengi. Tushindwe wenyewe tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…