johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
😂😂😂😂
Mangi Retired wa Ufipa st atanuna!
Mangi Retired wa Ufipa st atanuna!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tangu lini fisadi akamsema positively Magufuli.He was a real dictator!, aliamini udaku wa kitaa kwa kujaza mashushu kila kichochoro kwa yeyote anayezungumzia serekali, all N all, praise the Lord.
Mshana jr:
Sisi wengine tuliona umuhimu wake from day one.R.I.P Comrade Magufuli,tunakukumbuka sana.Sababu ya kukuondoa sasa tunaiona wazi.You never know value of something until you lose it.
Lakini ni Tanzania hii1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Alivyodhibiti mfumuko wa bei yaani bidhaa kama petrol na vingine havikupanda bei kiholela je hili umelisahauKuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika.
Ee Bwana Mama anazingua lakini Magufuli aliharibu. Kitu kibaya sana cha Magufuli ilikuwa unafiki. Alikuwa ni mnafiki, bahati mbaya au nzuri waliomzunguka walikuwa wanafiki kwake.As the saying goes "there is no honor among thieves" . Waliokuwa wanamkubali na wanaoendelea kumkubali wana uwezo mdogo wa kuchanganua mambo. Nchi ilikuwa inaenda kombo hela hamna ikabidi Kaka yake Rostam afunguliwe kakesi cha ujangili ili Rostam arudi. Mradi ya wa Taifa gas ulipunguza makali kidogo. Magufuli nyakati za mwisho wa uhai wake ndio alijua kuwa anahitaji Team nzuri. Sio tu kwa sababu ni kabila moja na yeye. Au mtu anayemsifia sifia. Magufuli alikazana na Image. Hili ni tatizo lililomharibia kwani kuiendeleza hii image ilihitaji hela nyingi. Na kuna mambo mengine Serikali ilikuwa inapata hasara ilikuwa kukeep image. Kuna wazungu kwenye mashirika ya umma alitaka kuwafukuza kazi ili kujenga image kuwa tunaweza. Mwisho wa siku akawatimua kwenye bodi. Akawaajiri kama consultants. Sasa hapo unaona hela ilivyokuwa inapoteaSiku vita ikatokea, nitaenda chato kulifumua kaburi lake kwa mzinga.
Nilikuwa simpendi na kifo chake nilifurahia sana.
Tushukuru mungu