Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
He was a real dictator!, aliamini udaku wa kitaa kwa kujaza mashushu kila kichochoro kwa yeyote anayezungumzia serekali, all N all, praise the Lord.
 
Utasikia "huyo ndo alikuwa raisi wa nchi" !

Kwa kweli alikuwa ni kiongizi nwenye maono chanya kwa nchi yake.
 
He was a real dictator!, aliamini udaku wa kitaa kwa kujaza mashushu kila kichochoro kwa yeyote anayezungumzia serekali, all N all, praise the Lord.
Tangu lini fisadi akamsema positively Magufuli.
Halafu ninyi ndo mnazima umeme wetu. Mkome, tena mkome.
 
Sasa Leo Umeongezeka mshahara,je purchasing power ya Sasa mshahara Umeongezeka na kabla vikoje?Figure kubwa thamani o
 
He certainly had his merits
And now being with moms
They show up to advantage

Behind the cheerful visage
Could have been a new page
Of Tanzania’s history rewritten
 
Kwa uchache tu,mambo ni mengi
IMG-20230406-WA0001.jpg
img_3_1680413385526.jpg
JamiiForums839866055.jpg
JamiiForums1190257988.jpg
IMG-20200726-WA0000.jpg
1679652251550.jpg
 
"Mshamba na limbukeni wa madaraka" end of quote by Zitto Zuberi Kabwe , nami nakubaliana naye [emoji817]
 
1. Wakati wake umeme hakuwa unakatika katika kama ilivyo sasa.

2. MAJIZI, MAFISADI na WALARUSHWA walipumulia mrija.

Lakini kwa sasa ni ovyo kabisa kama gari lililokosa Dereva.
 
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Lakini ni Tanzania hii

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Amenifunza ujasiri mkubwa sana

Amenifunza kuuruhusu msukumo wa kushindwa na kuruhusu kuanza upya, na kwamba, kila kitu kinawezekana haijalishi mtu ulikotoka ilikuwaje!!

Ujasiri unaosukumwa na uthubutu, humfanya mtu kufika mbaaali sana

Acha wapumbavu wapige kelele, shabaha yako iwe ileile!

RIP JPM
 
Siku vita ikatokea, nitaenda chato kulifumua kaburi lake kwa mzinga.

Nilikuwa simpendi na kifo chake nilifurahia sana.

Tushukuru mungu
 
Siku vita ikatokea, nitaenda chato kulifumua kaburi lake kwa mzinga.

Nilikuwa simpendi na kifo chake nilifurahia sana.

Tushukuru mungu
Ee Bwana Mama anazingua lakini Magufuli aliharibu. Kitu kibaya sana cha Magufuli ilikuwa unafiki. Alikuwa ni mnafiki, bahati mbaya au nzuri waliomzunguka walikuwa wanafiki kwake.As the saying goes "there is no honor among thieves" . Waliokuwa wanamkubali na wanaoendelea kumkubali wana uwezo mdogo wa kuchanganua mambo. Nchi ilikuwa inaenda kombo hela hamna ikabidi Kaka yake Rostam afunguliwe kakesi cha ujangili ili Rostam arudi. Mradi ya wa Taifa gas ulipunguza makali kidogo. Magufuli nyakati za mwisho wa uhai wake ndio alijua kuwa anahitaji Team nzuri. Sio tu kwa sababu ni kabila moja na yeye. Au mtu anayemsifia sifia. Magufuli alikazana na Image. Hili ni tatizo lililomharibia kwani kuiendeleza hii image ilihitaji hela nyingi. Na kuna mambo mengine Serikali ilikuwa inapata hasara ilikuwa kukeep image. Kuna wazungu kwenye mashirika ya umma alitaka kuwafukuza kazi ili kujenga image kuwa tunaweza. Mwisho wa siku akawatimua kwenye bodi. Akawaajiri kama consultants. Sasa hapo unaona hela ilivyokuwa inapotea
 
Back
Top Bottom