Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza
Acheni chuki nyie, mbona kuna lilikwama mkasema ameshindwa na sijui analihujumu bwawa. Ila alipofanikisha ndio mnalazimisha sifa ziende kwa JPM!! Kila Rais anayekuja anaendelea alipoishia mwenzake. Hata JK kuna mambo makubwa alifanya mfao umeme wa gesi unaochangia 70% ya umeme Tanzania umeletwa na JK, same to kupanua Airport, kuhamisha maji ya ziwa Victoria, lami nchi nzima, shule kila kata n.k

So hata Samia kuna mambo atayafanya atakapoishia atakuja mwingine atamalizia. So muache comparisons za kipumbavu.
asingeweza
Kwanini ashindwe? Kwani anabeba matofali mwenyewe? Pesa si zinatafutwa hata kwa mkopo sasa kipi kingefanya ashindwe? Acheni chuki nyie watu wa JPM. Aibu zimewajaa tu maana mlidhani ni mtu mmoja tu ndio anaweza kila kitu hamuamini kama mtu mwingine anaweza akafanya.
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
CHUMAJPM ALIWEZA!R.I.P JPM
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
"Na Mimi nataka niseme Watanzania mtanikumbuka na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nimesacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Mbali ya kuomba msaada pesa ya King’amuzi Kumbe una shida ya mdomo pia?
 
Neno Moja tu kutoka juu Kila kitu kinasimama....atasema mkurugenzi sitaki Kona Kona umeme utawaka rini,,,..kama utani alafu utasikia anasema ihiiiiiiiiiiiiijj anatikisa kichwa hiyo imeisha umeme utawaka.....pumzika chuma
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
Ongeza pia kwamba kama si Magufuli, kuhamishia Dodoma makao makuu ya nchi kusingekuwepo.
 
Bwawa la nini wakati tuna gesi ya kutosha, ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi
Bwawa Ni la muhimu sana Ila kwa kila anayejiondoa akili ataona halina umuhimu.

Na NCHI lazima itegemee umeme unaopatikana kwa njia zote hizi:-

1).Maji

2).Gas

3). Uranium

4). Upepo

5).Jua

Ni aibu kubwa Sana mpaka Leo bado tunahangaika na issue ya KUKATIKA kwa UMEME.
 
Bwawa Ni la muhimu sana Ila kwa kila anayejiondoa akili ataona halina umuhimu.

Na NCHI lazima itegemee umeme unaopatikana kwa njia zote hizi:-

1).Maji

2).Gas

3). Uranium

4). Upepo

5).Jua

Ni aibu kubwa Sana mpaka Leo bado tunahangaika na issue ya KUKATIKA kwa UMEME.
Mambo ya ku-generate umeme kwa kujenga mabwawa ni michongo ya kizamani sana
 
Neno Moja tu kutoka juu Kila kitu kinasimama....atasema mkurugenzi sitaki Kona Kona umeme utawaka rini,,,..kama utani alafu utasikia anasema ihiiiiiiiiiiiiijj anatikisa kichwa hiyo imeisha umeme utawaka.....pumzika chuma
"rini "ni neno la kiswahili ?

Mkuu ulimaliza darasa la saba ?

Au ndio matokeo ya shule za kata tunayaona sasa
 
Hawawezi wakakwambia mana imekuwa aibu kwao na kuusema ukweli sasa kwao ni kama kujipiga na ncha ya upanga shingoni. Acha mwamba alale hajaacha Deni kwa Watanganyika
Wadanganyika ni watu kama wewe, kuwa hajaacha deni [emoji848][emoji848][emoji848] una akili wewe kweli?
 
Bwawa la nini wakati tuna gesi ya kutosha, ni matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi
Gesi yenyewe mriwapa mabeberu kwa mikataba mibovu umeme wa gesi upi wa kuuziwa gesi kwa ghalama kubwa na mwekezaji harafu wewe ndo uzalishe umeme? Ingerikua ges haikuuzwa kwa mikataba mibovu tungerikuwa na umeme wa gesi
 
Acheni chuki nyie, mbona kuna lilikwama mkasema ameshindwa na sijui analihujumu bwawa. Ila alipofanikisha ndio mnalazimisha sifa ziende kwa JPM!! Kila Rais anayekuja anaendelea alipoishia mwenzake. Hata JK kuna mambo makubwa alifanya mfao umeme wa gesi unaochangia 70% ya umeme Tanzania umeletwa na JK, same to kupanua Airport, kuhamisha maji ya ziwa Victoria, lami nchi nzima, shule kila kata n.k

So hata Samia kuna mambo atayafanya atakapoishia atakuja mwingine atamalizia. So muache comparisons za kipumbavu.

Kwanini ashindwe? Kwani anabeba matofali mwenyewe? Pesa si zinatafutwa hata kwa mkopo sasa kipi kingefanya ashindwe? Acheni chuki nyie watu wa JPM. Aibu zimewajaa tu maana mlidhani ni mtu mmoja tu ndio anaweza kila kitu hamuamini kama mtu mwingine anaweza akafanya.
Ashawahi kuweza nini kwani?
 
Ukweri ni lazima usemwe

Kama siyo huyu baba tusingekua na hili bwawa

Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza

Ngosha ni shujaa
Ngosha ni baba wa pili wa taifa
Ngosha ni baba wa mfano
Ngosha ni baba mlezi
Ngosha ni dira
Ngosha ni role model wa kila mtu

Hivi kama sio Mungu kuturetea huyu shujaa tungekua na hali gani?Magufuri alikua shujaa

Na hili bwawa pongezi zote ziende kwake Magufuri huko ulipo wewe ni shujaa na baba wa taifa hiri

Hakuna kama magufuli
Ni kweli cjui kwann walimkill
 
Nyerere alishindwa

Mwinyi alishindwa

Mkapa akashindwa

Kikwete akashindwa

Magufuri shujaa wetu akaweza

Mama kakamilisha bwawa ile tu kwamba hana jinsi na angeacha wazalendo wasingemuelewa lakini ingekua ni yeye asingeweza
Akauza gas kwa bei ya kutupwa kujineemesha yeye na wanae
 
Back
Top Bottom