Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Rubbish, njia ya kupiga hela na kuwapa ndugu zake miradi ya ujenzi na yeye mwenyewe (Manyanga construction company). Think wide, magufulia alikuwa sacred Looter
Si bora huyo?

Hao wengine wanakula huku wanakukamua kodi kila kona wakiita kodi ya jengo!

Nauli juu
Mafuta juu
Vyakula juu
Vifaa vya ujenzi ndio balaa
Sukari ndio kama hivyo.

Mwishowe hata jamaa yako atashindwa kukupanda sababu ya stress

Upo hapo dada?
 
Sasa wewe kama huo.unaona ni ujinga embu jaribu kufikiria wewe utakuwa ni mjinga wa kiwango gani...just think.
Mimi nina akili zangu siyo kama wewe msukule, Magufuli aliwashikia akili, alipokufa amekufanazo.
 
Tatizo ni watu kutokuwa na akili kubwa na za kutosha. Magufuli?... kuna mtu mwenye akili zake anamkubali huyu mtu kweli?

Sasa hivi kama hujui ni kwamba haya matatizo tuliyonayo; uhaba wa dola, umeme, maji, sukari yalianzia kwa Magufuli kuvuruga mfumo wa uchumi uliokuwa unastawi vizuri sana kabla ya 2015.

Ni chenga ndogo kwa wajinga na imekubali kwelikweli, Samia hawezi kusema hayo kwani yeye alikuwa sehemu ya utawala mbovu wa Magu. Mambo ya kulipua na kulazimisha mambo na uongo mwingi ndio vinajihidhirisha sasa.
maku ya kikongwe.

Sent from my SM-A135F using JamiiForums mobile app
 
Licha ya kuwa Magufuli hatunaye tena lakini matokeo ya kazi zake zinaendelea kuonekana , baada ya mgao wa umeme Kwa dar ES salaam kwisha, na hapo ni mtambo moja Tu ulianza kufanya kazi, tusubiri zingine nazo ziingie
 
Mgawo wa umeme umekwisha kwishaje ilhali mimi sina umeme toka asubuhi hadi sasa saa 2 usiku?!
Na niko hapa Kibaha karibu kabisa na Dar es Salaam
 
Mimi nina akili zangu siyo kama wewe msukule, Magufuli aliwashikia akili, alipokufa amekufanazo.
Mwishowe umeamua ubaki peke yako mjinga?

Wenginewe wote tumechoshwa na mgao wa umeme uliokuwa umekomeshwa, rushwa, ufisadi wa kutisha sasa n.k

JPM ni wajinga wachache tu ambao wameendelea kupinga uwezo wake
 
Back
Top Bottom