Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Haita tokea katika bara la Afrika Kiongozi aliye kaa Madarakani kwa muda wa miaka 5 na kuweza kuleta maendeleo kama hayo. Mungu amsamehe makosa yake ameweza ,Amedhubutu kwa vitendo kiongozi imara aliyeipenda nchi yake Tumempoteza Shujaa wetu barani Afrika Hayati Rais Doctor Magufuli Mungu apumzishe roho yake kwa amani amin.
😭
👍
🤲


162581018_10164597097010198_8052680499398748041_n.jpg
 
TUTAKUKUMBUKA SIKU ZOTE KATIKA MAISHA YETU MZEE WETU KIONGOZI WETU SHUJAA WETU MTETEZI WA WANYONGE MUNGU AKUWEKE MAHALI PEMA NA AKUSAMEHE MAKOSA YAKO RIP DOCTOR MAGUFULI AMIN.
👍
😭
🤲



 
View attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.

Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Ngoja mafisadi na vyeti feki waje
 
1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Kwani chato sio tanzania hapastahili maendeleo?
 
Nafasi ya kwenda peponi yaani kwenda mbinguni muumini mwenzetu Mh sana Yohani Magufuli ameishika muumini mwenzie wa kanisa katoliki Mukatukumeni Tundu Lissu, Nduguze Magufuli wamwone TUNDU LISU kwa njia ya kitubio amsamehe Magufuli kwa yale aliyomtendea akiwa duniani.

Vinginevyo bila Tundu Lissu kumsamehe Magufuli kabla ya Tundu LISSU hajaondoka duniani basi Magufuli atakutwa tohorani alipo mpaka sasa. Mtahani kabuli, mtaweka malumalu, mtaweka mauwa yote ni bure funguo za pepo za Magufuli anazo Tundu LIssu


Habari zimfikie Mafene mkopeshaji wa Mpwapwa
atazungumza sana na kukaza misuli ya shingo kumtetea katili yule Magufuli utetezi wake ni bure sisi wakatoliki wabobezi tunajua kabisa Magufuli ana hoja ya kujibu mbele ya mungu kwa risasi zile alizomiminiwa na watesi wake

MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE TUNDU LISSU EE BWANA.
 
Mungu ndie ajuaye kila liendalo kutokea mapenzi yasikutie upofu haya tupe fact Magufuli alipothibitishwa kumtendea huo uovu!
 
Mkuu Hizo ni strong allegation kwa Magufuli..
Kama Zikithibitika Si kweli bhasi utaingia kwenye kosa la Defamation
 
Umechelewa sana kujua hilo mkuu.

Magufuli anakumbukwa na watu wote wenye akili, wanaoipenda nchi yao na wanaotazamia mbali kuhusu vizazi vyao.
Nimechelewa sana. Nimegundua watu wa propaganda na wazee wa kutuaminisha Magu alikuwa mwehu walifanikiwa sana kutudanganya
 
Back
Top Bottom