Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Sshv mama anajitahidi kutuma watu wakasolve issues ambazo zilikuwa zime-stuck kwasababu ya wevi, wazembe na walarushwa anachofanya Makonda na Jerry Slaa wanatembea kwenye idea za Magu
 
Binafsi sikumpenda,alivuruga ustaarabu wa Mtz. Alikuwa mnafiki, alikuwa Dikteta, aliuwa sana Watu, alisingizia Watu Kesi za Uhujumu Uchumi, alivuruga soko la Mazao. Bora Mungu alivyomchukua nchi ingekuwa Masikini
 
Sshv mama anajitahidi kutuma watu wakasolve issues ambazo zilikuwa zime-stuck kwasababu ya wevi, wazembe na walarushwa anachofanya Makonda na Jerry Slaa wanatembea kwenye idea za Magu
Naunajiaminisha style Yao ni suluhisho ya matatizo ya watanzania wote[emoji41]
 
Asaiv ningekua na mihela mingi na miradi kadhaa ila utawala wa yule jamaa ulinikatisha dreams zangu, kuna fungu langu kabisa utawala wake ulilikwamiasha..
 
Naunajiaminisha style Yao ni suluhisho ya matatizo ya watanzania wote[emoji41]
Uwoga. Watumishi wa serekali ambao ni washenzi wakiona hv wanaogopa. Wakiwemo na wale ambao walitaka kuingia kwenye mchakato huo. Mm nimetumikia Uma miaka 10 najua
 
Binafsi sikumpenda,alivuruga ustaarabu wa Mtz. Alikuwa mnafiki, alikuwa Dikteta, aliuwa sana Watu, alisingizia Watu Kesi za Uhujumu Uchumi, alivuruga soko la Mazao. Bora Mungu alivyomchukua nchi ingekuwa Masikini
Hivi aliyafanya haya akiwa anajua ama ni rumours
 
Uwoga. Watumishi wa serekali ambao ni washenzi wakiona hv wanaogopa. Wakiwemo na wale ambao walitaka kuingia kwenye mchakato huo. Mm nimetumikia Uma miaka 10 najua
Tulipokea muongozo tunaendelea nao kwamba mihimili zinazounda Jamhuri 3. Serikali kuu. Bunge na mahakama. Mahakama ndiye msuluhishaji wa kutoelewana baina ya mtu na mtu au taasisi. Hakuna muongozo wawoga. Ukinipokonya changu twende mahakamani. Period usidanganyike woga hutatua matatizo. Unahairisha tu
 
Umechelewa sana kujua hilo mkuu.

Magufuli anakumbukwa na watu wote wenye akili, wanaoipenda nchi yao na wanaotazamia mbali kuhusu vizazi vyao.
Kwalipi mbolea kipindi chamagufuli ilikua mifuko 150000 waikatiutawala wa mama ni64000 wakulimawapiwatampenda huyoshetani wako
 
Namkumbuka kwa kujimwambafai bila mpango, wazungu wakamfinya mbupu kidogo mpaka akamuomba Kikwete amsaidie.
 
Ama kwa hakika nchi inapigwa kwasasa. Ina majizi yanayoiba bila hata kumuogopa Mungu .

 
Back
Top Bottom