min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
😁😁 mkuu kwa hyo unaamini kila asiye mkubali yule mwamba ni mwizi?Kamwe siwezi kuwa kwenye kundi lao. Ulimwengu wa leo una fursa nyingi sana. Sio lazima niibe ili niishi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 mkuu kwa hyo unaamini kila asiye mkubali yule mwamba ni mwizi?Kamwe siwezi kuwa kwenye kundi lao. Ulimwengu wa leo una fursa nyingi sana. Sio lazima niibe ili niishi
Sio namba zote. Hakunaga ukamilifu kwenye namba😁😁 mkuu kwa hyo unaamini kila asiye mkubali yule mwamba ni mwizi?
Sure bro .Sio namba zote. Hakunaga ukamilifu kwenye namba
Naunajiaminisha style Yao ni suluhisho ya matatizo ya watanzania wote[emoji41]Sshv mama anajitahidi kutuma watu wakasolve issues ambazo zilikuwa zime-stuck kwasababu ya wevi, wazembe na walarushwa anachofanya Makonda na Jerry Slaa wanatembea kwenye idea za Magu
Uwoga. Watumishi wa serekali ambao ni washenzi wakiona hv wanaogopa. Wakiwemo na wale ambao walitaka kuingia kwenye mchakato huo. Mm nimetumikia Uma miaka 10 najuaNaunajiaminisha style Yao ni suluhisho ya matatizo ya watanzania wote[emoji41]
Hivi aliyafanya haya akiwa anajua ama ni rumoursBinafsi sikumpenda,alivuruga ustaarabu wa Mtz. Alikuwa mnafiki, alikuwa Dikteta, aliuwa sana Watu, alisingizia Watu Kesi za Uhujumu Uchumi, alivuruga soko la Mazao. Bora Mungu alivyomchukua nchi ingekuwa Masikini
Tulipokea muongozo tunaendelea nao kwamba mihimili zinazounda Jamhuri 3. Serikali kuu. Bunge na mahakama. Mahakama ndiye msuluhishaji wa kutoelewana baina ya mtu na mtu au taasisi. Hakuna muongozo wawoga. Ukinipokonya changu twende mahakamani. Period usidanganyike woga hutatua matatizo. Unahairisha tuUwoga. Watumishi wa serekali ambao ni washenzi wakiona hv wanaogopa. Wakiwemo na wale ambao walitaka kuingia kwenye mchakato huo. Mm nimetumikia Uma miaka 10 najua
Kwalipi mbolea kipindi chamagufuli ilikua mifuko 150000 waikatiutawala wa mama ni64000 wakulimawapiwatampenda huyoshetani wakoUmechelewa sana kujua hilo mkuu.
Magufuli anakumbukwa na watu wote wenye akili, wanaoipenda nchi yao na wanaotazamia mbali kuhusu vizazi vyao.
= shortcutHuo ndio ukweli wevi watu wa short cut wazembe na watoto wa mjini wengi hawakumpenda kabisa. Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2025 ccm wajipange manake masikini ni wengi na wamechoka danadana
Sawa= shortcut
Una ushahidi weka hapaAlipola korosho kwamanufaayake binasfi
Wenye akili?[emoji3][emoji3][emoji3]Umechelewa sana kujua hilo mkuu.
Magufuli anakumbukwa na watu wote wenye akili, wanaoipenda nchi yao na wanaotazamia mbali kuhusu vizazi vyao.