Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
Ngoja mafisadi na vyeti feki wajeView attachment 1734652
Picha: Hayati Rais Magufuli enzi uhai wake
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti (Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss, kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo.
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje, kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu, S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Lakini bidhaa na hazikupanda bei na tozo hazikuwepoKuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika.
Kwani chato sio tanzania hapastahili maendeleo?1. Chato International Airport
2. Chato National Park
3. Trafic light Chato
4. 3 star hotel Chato (TANAPA)
5. Bohari ya kanda madawa Chato
6. Hospital ya rufaa Chato
7. Stadium (proposa)
8. CRDB Chato
9. Mahakama ya hadhi ya kanda
10. VETA hadhi ya kanda
11. Office za TANESCO hadhi ya juu
12. Office za Zimamoto
13. Mradi mkubwa wa Viwanja NHC
14. Shule ya kimataifa
Huyu alipewa kiwanda cha nyama bure kule sumbawanga, we kapuku ulipewa niniMzindakaya amlilia Magufuli
View attachment 2937204
Punguza speedHuo ndio ukweli wevi watu wa short cut wazembe na watoto wa mjini wengi hawakumpenda kabisa. Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2025 ccm wajipange manake masikini ni wengi na wamechoka danadana
Nimechelewa sana. Nimegundua watu wa propaganda na wazee wa kutuaminisha Magu alikuwa mwehu walifanikiwa sana kutudanganyaUmechelewa sana kujua hilo mkuu.
Magufuli anakumbukwa na watu wote wenye akili, wanaoipenda nchi yao na wanaotazamia mbali kuhusu vizazi vyao.
Aliziba mianya ya wevi na wazee wa forgery. Lkn wabunifu wali-surviveHao waliokua wanamchukia sababu kubwa ilikua nini au kwakua aliziba mifereji na myanya ya kifisadi na ubadhilifu? Tatizo hizi nchi zetu ukisamamia pence haki unakua Adui wa watu
Note but: na ndiyo maana wakamuaa
Kamwe siwezi kuwa kwenye kundi lao. Ulimwengu wa leo una fursa nyingi sana. Sio lazima niibe ili niishiMkuu kama upo Tz jitahidi sana uwe kwenye hilo kundi la wezi ambao hawakumpenda magufuli.
Ulikuwa hujalijua hilo, vyeti feki watampendaje?Huo ndio ukweli wevi watu wa short cut wazembe na watoto wa mjini wengi hawakumpenda kabisa. Tunapoelekea uchaguzi mkuu wa 2025 ccm wajipange manake masikini ni wengi na wamechoka danadana