Hili taulo limeshadondoka mbele za wakwe mkuu, kimbilia chumbani ooh! hii report ya leo mimi hata siamini kabisa.Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Kuna mtiririko Well designed kuharibu image yake ....Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.
Kupata hasara sio jambo la kujisifia. Kupata hasara sio mashindano.
Kama mke wa jirani yako kaliwa juzi naww mkeo akiliwa leo na mchepuko utaleta uzi wa kumsifia hapa?
Acheni mambo ya kijinga, umaskini sio sifa.
Utamkumbuka wewe na mafashisti wenzio.....
Wewe unaona kupata hasara ndiyo ujanja?
Unaelewa Marekani ndiyo nchi iliyoanzisha usafiri wa ndege, na leo hii haina shirika la ndege la taifa.
Unafikiri hao Wamarekani ni wajinga?
Ila si unamkumbukaEndelea tu kumkumbuka aisee. Sisi wengine tayari tumeshamsahau eti!!🤔
Huyu ni Contractor tuu, na amejaza foreigners na vibali hawana..Inasikitisha sana kwakweli.Magufuli alikuwa na msimamo na nia thabit ya kuinua uchumi wa nchi.Ila kwa sasa naona kama tumepoteza mwelekeo.Rais anasimama anasema waziwazi tunahitaji wawekezaji kuliko wanavyotuhitaji! Anaruhusu wawekezaji waje na watu wao bila kujali ajira za wazawa.Hana msimamo mambo ambayo alitakiwa azungumzie ofisini anaweka hadharani au alijua JPM alikuwa mjinga kutokusema hadharani baadhi ya mambo? Huko ni kutengeneza panic na porojo ambazo zitamuondolea focus ya maendeleo na hazitamuongezea chochote!
Ukiona nimemkumbuka, basi ni kwa yale mabaya yake tu.Ila si unamkumbuka
Sema tuh ukweli
MATAGA ndo mmekuwa kama MABATA!ila UFIPA bana mna tabu sana,halafu ukute wewe ni mwanaume wa mtu[emoji28].
marekani wamepata uhuru miaka 400 iliyopita,wamepata mapinduzi ya viwanda miaka 200 iliyopita,unakuja kuitolea mfano hapa!!!!
tatizo siasa zimekula vichwa,mmekuwa kama kuku.
Shirika la ndege la Kenya limepata hasara zaidi ya Bilioni 800 ila bado linaendelea na shughuli zake kama kawaida.
Ni shirika kongwe ambalo limekuwepo toka miaka ya 70.
Shirika changa la ndege la Tanzania limepata hasara ya Bil. 60 wanataka wasitishe ununuaji wa ndege.
Magufuli amekufa na ndoto yake ya kuifanya Tanzania taifa kubwa Afrika lenye uchumi mkubwa.
Hakika tutamkumbuka huyu kiongozi.