Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Alikuwa ana roho mbaya kumzidi shetani
Aende kuzimu
 
Ripoti ya CAG inajieleza na mostly likely atakumbukwa kama MWIVI!
 
Nawasalimu wakuu!

Kiukweli kilio hiki kimetutia simanzi wengi saana aswaa wale tunaoelewa tu tafsiri ya msiba. Kimsingi katika maisha yangu ya jeshini, nilifundishwa vitu vingi saana lakini nilichokizingatia hadi leo ni pale tulipoambiwa katika unatakiwa kupigia saluti maiti yeyote ile iwe ya Mwanajeshi, Raia, mwizi, na hata mheshimiwa ili mradi iwe ya binadamu. Hii ilikuwa ni kwa ajili ya kuonyesha respect na kwa mtu yeyote aliyefariki.

Mwalimu Nyerere wakati anang'atuka aliwahi kusema hivi "Kwenye uongozi wangu nimefanya mengi, mengine mema mengine ya kijinga lakini fuateni yale mema ya kijinga myaache"

Vivyo hivyo kwa Magufuli! Kafanya mengi mengine mema mengine ya kijinga.

Mema yake ndio dhumuni la uzi huu.

Kwanza namsifu kwa kuyaishi maneno yake angetaka kwenda kokote Duniani kutibiwa angeweza lakini katibiwa kwenye hospitali ya nchini kwake na kufariki hapo hapo Mzena hospital. Viongozi wengi vigeugeu lakini sio Magufuli.

Alizilinda rasilimali za Taifa kwa kumaanisha.

Weka na za kwako tuone.
Nimesikitika kifo cha Magufuli. Siku ile nilikuwa nimekwenda kuwatembelea ndugu nikasema zipo habari kuhusu kiongozi mmoja haionekani mitaani,amelazwa hospitali, sijui nani huyu.
Nikaambiwa wanamsema Magufuli.
Nikasema,nikatamka,"Hiyo inanisikitisha sana kwa sababu sitaki Samia Suluhu awe Rais"
Kwa hiyo nikafarijika kuambiwa kwamba anaumwa lakini Hali yake siyo mbaya.
Siku ile ile alipokuwa nikaulizia sfya yake,nikaambiwa hana matatizo" usisikilize porojo za akina Tundu Lissu."
Samia Samia anasema "faster,faster" kama kondakta wa daladala.
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Tundu Lissu, Azory Gwanda, Ben Saa8, Alphonse Mawazo, ujambazi wa TRA, Kufuswa kwa Bureau de Change, viroba vya maiti mto Ruvu na baharini, Sakata la Korosho, umma kuzibwa midomo, kusigina katiba, uhuru wa habari, ugumu wa maisha nk nk!
 
Kwa kweli sijafurahi kabisa kumpoteza kiongozi mahiri kama john pombe magufuli alikua hodari sana katika uongozi wake mianya ya rushwa alikomesha, uonevu, huduma katika taasisi za kiserikali zilikua zikitolewa kwa heshima na bila ubaguzi, kajenga miradi mingi sana nchini, elimu bure, miundombinu, hudumu hospitalini ziliboreshwa, huduma za maji mikoa mbalimbali alitoa fedha miradi ikamilishwe, uwanja wa ndege wa mwl Julius Nyerere aliukarabati kwa ufupi Rais wangu kifo chako John Pombe Magufuli umeniachia simanzi moyoni mwangu.
Vipi wale waliitwa wasiojulikana ulikuwa mmoja wao?
 
Huu ni uongo wa jumla, mimi na wenzangu tumepanda madaraja na kupata increments zetu kama kawaida.
Matatizo mengine ya kiutendaji na taratibu za utumishi zisikufanye ujumuishe hapo
Acha uongo wako
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Atakumbukwa kwa kuondoa mfumo uliokuwa umeanza kujengwa na baadhi ya viongozi wa kurithisha madaraka kwa vizazi vyao.
(Power elite model)
 
Kati ya miradi yote, mradi ambao ni wa hasara na tunahitaji kuachana nao mapema ni ndege.

Watalii wanaenda Kenya sio kwa sababu ya KQ, na wanaacha kuja kwetu sababu ATC lilikufa. Na kutangaza vivutio vya utalii sio lazima kutumia atcl. Kumbuka travel agents wa ulaya, America etc hawajui atcl. Wanaju mashirika kama klm, air france, ethiopian, kq etc. Sasa tumekurupuka kununua mandege bili business plan, matokeo yake tunapata hasara.

And so far nimesikia tumefutiwa/tumesimamishwa uanachama IATA,. hivyo hatuna kibali cha kurusha ndege huko duniani.

Kwa hiyo mimi nitankumbuka mh. Magufuli kama kiongozi aliyetuongoza ktk mambo mengi mabaya, au yalifanywa kwa kukurupuka, bila kuzingatia vipaumbele vya taifa, ufufuaji wa atcl ikiwa mojawapo.
 
Atakumbukwa kwa kuondoa mfumo uliokuwa umeanza kujengwa na baadhi ya viongozi wa kurithisha madaraka kwa vizazi vyao.
(Power elite model)
Kauondoaje, wakati yeye ndo aliesimamia mchakato mzima wa uteuzi wa Dr. Hussein Ally Mwinyi kushika wadhifa ambao baba yake alishaushika..?
 
1. Ukatili
2. Maneno ya kunya
3. Ukanda
4. Kupiga risasi wapinzani hadharani
5. Kujiona yeye ndo mungu

*Mungu amemuonyesha nani Ni mungu. Akachomwe moto kwa kuua watu na kuwatia kwenye sandarusi kisa wamemkosoa
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.

Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..

Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).

1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.

2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).

3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.

4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.

5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.

6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.

7.


Itaendelea...

PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Amesababisha nijue kwamba hata kama una elimu nzuri ya ujasiriamali na mtaji, biashara zinaweza kufa kutokana na sera ambazo hazina muelekeo 'policy uncertainty', hili pia limeongezea nyama za kutosha kwenye kitabu changu cha ujasiriamali
 
Nitamkumbuka kwa
1. kuyazima maisha ya kaya ZA waliokuwa watumishi wa serikali zaidi ya 12,000 na kudhulumu pension yao, sijui wasemacho huko waliko
2. watumishi kutopandishwa mishahara kwa kipindi chote cha utawala wake
3. Watumishi wengi kutopandishwa madaraja
4. Serikali kutochunguza suala la Tundu Lissu kupigwa risasi
5. Kunyima haki ya kuchagua kiongozi umtakaye
6. Teuzi zisizofuata taratibu-maded, madas nk. Kursus konyne cha taratibu-maded sheria
7. Kila kitu kafanya yeye badala ya serikali
8. Wanaccm kujiona wao ndio haswaaaaa wenye nchi na kunyanyasa wengine
9. Uongo wa serikali kwa mengi. kuugua kwake ni mfano
10. Kuwatia uoga watu kuzungumza mambo ya serikali.
11. Kutunga sheria kandamizi
12.Kufunga magazeti.

Yaaani yote haya, vile alivyotendewa Tundu Lissu kuanzia kupigwarisasi na kunyimwa halo zake PAMOJA na kuharibu chaguzi ZA serikali za mitaa na huu Mkuu, sijui kans dhambi hizi zitasameka kwa sababu bado wengi wana huzuni mioyoni wao.

Ila nilipenda misimamo yake hasa katika kusimamia na kutekeleza alichokiamini hata kama ni kwa makosa. Alifanikiwa.

Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi kama zipo kwa haya, na ampe pumziko jema ktk maisha ya yajayo.
Akachomwe moto tu
 
Nitamkumbuka kwa
1. kuyazima maisha ya kaya ZA waliokuwa watumishi wa serikali zaidi ya 12,000 na kudhulumu pension yao, sijui wasemacho huko waliko
2. watumishi kutopandishwa mishahara kwa kipindi chote cha utawala wake
3. Watumishi wengi kutopandishwa madaraja
4. Serikali kutochunguza suala la Tundu Lissu kupigwa risasi
5. Kunyima haki ya kuchagua kiongozi umtakaye
6. Teuzi zisizofuata taratibu-maded, madas nk. Kursus konyne cha taratibu-maded sheria
7. Kila kitu kafanya yeye badala ya serikali
8. Wanaccm kujiona wao ndio haswaaaaa wenye nchi na kunyanyasa wengine
9. Uongo wa serikali kwa mengi. kuugua kwake ni mfano
10. Kuwatia uoga watu kuzungumza mambo ya serikali.
11. Kutunga sheria kandamizi
12.Kufunga magazeti.

Yaaani yote haya, vile alivyotendewa Tundu Lissu kuanzia kupigwarisasi na kunyimwa halo zake PAMOJA na kuharibu chaguzi ZA serikali za mitaa na huu Mkuu, sijui kans dhambi hizi zitasameka kwa sababu bado wengi wana huzuni mioyoni wao.

Ila nilipenda misimamo yake hasa katika kusimamia na kutekeleza alichokiamini hata kama ni kwa makosa. Alifanikiwa.

Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi kama zipo kwa haya, na ampe pumziko jema ktk maisha ya yajayo.
Akachomwe moto tu
 
Kikwete alikuta bia 500 mpaka anaondoka akaacha 2500.
Magufuli alikuta bia 2500 mpaka anakufa kaacha 1800, hili wengi hawalioni kabisa.

Sikuwahi kupanda treni toka nizaliwe ila mwaka 2020 nimepanda Deluxe kwenda Moshi, hili umuhimu wake utaonekana baada ya treni kufa na kuanza nauli za 80k kwenda Moshi.

Kabla ya 2015 ilikua ni kawaida kusikia matukio ya ujambazi tena karibu na vituo vya Polisi, ila toka 2015 mpaka sasa sijaskia jambazi aliesalimika kwenye ujambazi,na matukio yamekuwa machache sana.
Utaiba nini wakati hela zenyewe hakuna
 
Kunyang'anywa demu hapo sijaelewa
Shujaa aliyejengea wakwe zake Daraja la Busisi kwa bilioni 700?

Shujaa aliyeshindwa kuajiri wala kupandisha mishahara kwa miaka 6?

Shujaa aliyenyang'anywa demu na Mtela Mwampamba....?

Shujaa aliyesema Tanzania hamna Corona ila ikamfyekelea mbali yeye na katibu mkuu kiongozi wake?
 
Back
Top Bottom