Lakini watu wakaishikaua haki za binadamu
Hiii ni legacy nyingine ya Magufuli.
Kabla ya magufuli kushika madaraka vikongwe hasa wa kanda ya ziwa waliripotiwa kuuawa kwa imani za kishirkina.
Kwa kipindi cha miaka mitano sijasikia wimbi la mauaji ya vikongwe hata katika media za nje kama BBC.
Lakini watu wakaishi
Je aliyemiminwa shaba 16 +!!VIKONGWE WALIKUWA WANAUAWA NA WASUKUMA WENZIE HIVYO SIRI YAO ALIKUWA ANAIJUA! LAKINI BEN SAANANE,MAWAZO NA GWANDA ALIWAUA!!
Aliombewa na ataendelea kuombewa ametunukiwa kuwa Rais wa malaika. Alivyowazia kipindi. Aliye na ile clip atupatie!Magufuli alikuwa na kipawa cha uumbaji cha baraka! Alichosema kiwe kulikuwa na alichokizuia kisiwe kilitokomea na kufa...rejea Accasia'!
Kipindi cha Magu hata wanyama wetu kwenye mbuga zetu za wanyama waliofurahi na kuzaana! Hata tausi wetu nao wali'enjoy' saana na kuzaana sana!
Mh. Dr JPM alikuwa baraka na nuru kutoka kwa Mungu kwetu watanzania! Tunamuomba Mungu ampumuzishe rahani mwake penye amani ya milele shujaa wetu Mh Dr JPM [emoji120][emoji120][emoji24]!
Hata wanyama pia watakumiss sana mpendwa wetu!
Na mama yake Sugu Mr IImama yake Erick Kabendera?
Shujaa aliyeshindwa asante mungu kwa kazi yakoChuki yako haibadilishi ukweli wa Mambo kuwa Magufuli ni shujaa Hadi wajukuu wako watamkumbuka kwa mema aliyoyafanya.Mimi nasisitiza tufanye jambo makhususi kumuenzi huyu shujaa wetu.
Umeazisha mada mwenyewe unachangia mwenye hahahaaa ni dalili kua hukuliki wewe na yeye na kiukweli he was worse sasa inabidi asafishwe kwa nguvuTukiacha unafiki tunajukumu zito la kumuenzi Magufuli ametuzindua.
Endelea kuchangia huu Uzi wewe mwenyewe !!! Kiukweli alifeli na sasa mnatumia msukuma kumuosha PhD fekiHahahahaaaa najua wewe ni katika wale mnaopambana kumchafua mpendwa wetu.
Mpendeni,jambeni,kunyeni,harusheni,firweni,ila kaf......Sisi wazalendo tunampenda na ataendelea kuishi katika mioyo yetu ametutendea Makubwa Sana.