Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Magufuli aliifanya kwa vitendo dhana ya kujitegemea, alipunguza sana rushwa na ubadhilifu, aliwashinda mabeberu na kutetea rasilimali zetu. Ametusaidia kufikia uchumi wa kati miaka mitano kabla ya muda tarajiwa. Hakika alikuwa zawadi ya Mungu kwa Watanzania. Apumzike kwa amani.
Wakati anapewa nchi uchumi ulikuwa unakuwa kwa asilimia ngapi na yeye kaacha ngapi?
 
Huu uzi ni kwa ajili ya watu tulioguswa na kifo cha mpendwa wetu Rais John Pombe Magufuli.

Kama wewe ni miongoni mwa wafiwa, pita hapa sema chochote, tueleze kwa nini umeguswa na msiba huu? unamkumbuka vipi hayati JPM?

Binafsi namkumbuka jpm kwa mengi ila kubwa zaidi, jpm alikuwa mwanaume wa shoka asiemuogopa yeyote.lakini pia hii nchi alikuwa ameiweka kwenye stari. Matunda wangefaidi vizazi na vizazi.

Watanzania wanapenda dezo, lelele mama hawataki kufanya kazi, hawataki kulipa kodi ndo maana wana chuki sana.

Sisi tulioumizwa na kifo chake tunaumia kwa sababu aliweza kufanya kwa vitendo. vitu alivyovifanya vinaonekana. Hata umchafue vip watanzania wanaona.

Humu kuna watu wenye akili timamu ambao wanaweza kusema hapa kuwa kipindi cha jpm wamefanya vitu vya maendeleo, ukifata utaratibu mambo yanaenda, rushwa ilikuwa imepungua sana.
Watu walipata kazi/ vyeo bila upendeleo.
Kama binadamu, kuna mengine alikuwa hajafanya lakini alikuwa anaelekea huko.

NB.wewe kama unajua wewe ni miongoni mwa walioshangilia na kusheherekea kifo cha jpm pita kimia kimia, nyuzi zipo nyingi za kuchangia.

Libarikiwe tumbo lililozaa hiki chuma.ni mwezi sasa bila chuma. RIP JPM

Wafiwa tujuane.
Huu uzi ilitakiwa uwe wa Wanyonge, sasa bahati mbaya sana hao 'Wanyongwa' hawana Access na JF labda peleke FB.

BTW Pombe kasahaulika faster sana kuliko na alivyokuwa anapambana aonekane zaidi yeye kukiko wengine. Ila kuna kakikundi cha watu wachache tu ndio kinalamisha akumbukwe.

Mioyo imekuwa na amani sana na alivyosahaulika kana kwamba Mama Samia kaanza baada ya Kikwete.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Huu uzi ni kwa ajili ya watu tulioguswa na kifo cha mpendwa wetu Rais John Pombe Magufuli.

Kama wewe ni miongoni mwa wafiwa, pita hapa sema chochote, tueleze kwa nini umeguswa na msiba huu? unamkumbuka vipi hayati JPM?....
Sawa Kabula,mpe pole Baby B.
 
John Pombe Joseph Magufuli(rest in peace) alikuwa Rais mwenye mapenzi mema na nchi yake. kwa mimi binafsi nilikuwa nikipingana nae suala la kuminya vyama vya siasa ambavyo kimsingi ni Watanzania wenzetu.

lakini masuala kama kulinda rasilimali za nchi kama madini; kudhibiti uvivu na kuongeza uwajibikaji miongoni mwa watumishi wa umma; kudhibiti wauza-dawa za kulevya, kudhibiti wakwepakodi na madhulmati wengine. haya ndiyo mambo tunayotaka kama nchi.

namtakia pumziko la amani wakati huu tukiyatafakari na kuwaza ni jinsi gani tutatoka hapa ili kuyaishi maisha yake.

mwisho kabisa naamini kifo chake ni inside job.
 
Jiwe alikuwa anapeleka nchi shimoni. Mungu tu ndio aliamua kutuondoshea uovu ndani ya nchi yetu
 
Magufuli aliifanya kwa vitendo dhana ya kujitegemea, alipunguza sana rushwa na ubadhilifu, aliwashinda mabeberu na kutetea rasilimali zetu. Ametusaidia kufikia uchumi wa kati miaka mitano kabla ya muda tarajiwa. Hakika alikuwa zawadi ya Mungu kwa Watanzania. Apumzike kwa amani.
Acha kusema uongo kujitegemea gani ikiwa deni la taifa limeongezeka kwa 100% ndani ya miaka 5 tu

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Sawa Kabula,mpe pole Baby B.

Hahahaa Kebby analeta ngonjera zake kwa watu wenye uelewa wa kutosha ,hizo sifa za kubumba akizepeleke huko kijijini ndani ndani wasiojuoa kitu gani kinaendelea.

Meko huyo huyo aliyemaliza ufisadi wakati alikuwa anatuongopea kila siku tunajenga kwa fedha zetu haya deni la taifa sasa trilioni 70,ATCL sijui ineleta faida Nye nye nyeeee miaka 6 hasara tupu.

Hatutoacha kusema wakiendelea kumpa sifa za kubumba.
 

This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.

Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi....

Ntamkumbuka JPM kutokana na kipindi kigumu cha maisha nilichopitia ambacho kitajulikana katika vitabu vya historia kama kipindi cha "VYUMA VIMEKAZA"

Ntamkumbuka JPM kutokana kipindi cha wimbi la kuteka watu na kuua watu hovyo ambacho kitajulikana katika vitabu vya historia kama kipindi cha "WASIOJULIKANA"

Ntamkumbuka JPM kutokana na kipindi kigumu cha wimbi la unafiki ambacho kitajulikana katika vitabu vya historia kama kipindi cha "WE ARE ON THE RIGHT TRACK" wakati hali ni total mess bila nyongeza ya mishahara kwa miaka mi'5

Ntamkumbuka JPM kutokana na kipindi kigumu cha maisha ya propaganda za "UCHIMI WA KATI" ambacho kitajulikana katika vitabu vya historia kama kipindi cha "NCHI HII NI TAJIRI " amabayo maisha ya watanzania yalikosa uhakika wa KULA na KULALA

Ntamkumbuka JPM kutokana na kipindi kigumu cha maisha ya kuigiza na kujipendekeza kinafiki kwa viongozi hasa wabunge wa CCM na mawaziri unafiki uliopelekea mpaka Shehe Mkuu wa mkoa kusoma dua kwa jina la YESU

Ntamkumbuka JPM kuwa raisi mbabe alievunja na kusigina katiba ya nchi bila ya aibu miongoni mwayo uvunjifu mkubwa wa katiba katika tukio la wabunge wa COVID-19

Kwakweli ntamkumbuka kwa mengo mabaya na kuchefua


Sasa hivi yupo mbinguni anakula marungu ya moto wa Jahanam unaoitwa MAAHIYA ambao ni NAARUN HAAMIYA

Maahiya ni ule moto mkali kabisa ambao wanchomwa wauwaji, wanafiki, watesaji wabaguzi, majambazi na hasa wale wanaojiona ni Mungu watu.

REST IN PROBLEMS huko uliko Magu

Haya tuombe dua Ndugu zangu

Allah akulipe kwa maouvu na unafiki ulio ufanya kwa nchi hii In Shaa Allah ... Amen [emoji2969][emoji2969][emoji2969] !!!

Zaidi kabisa Allah akulipe kwa risasi za moto wa JAHANAM kama zile risasi alizo mpiga T.A Lissu ... Amen.

Allah akulipe kwa marungu makali ya moto wa JAHANAM kwa dhuluma ya kila senti ya mlipa kodi aliyoitumia kununulia wapinzani ... Amen.

Allah akulipe kwa marungu makali ya moto wa JAHANAM kwa kunuia kuiua CHADEMA ambayo kwa uwezo wake Allah ukafa wewe na CHADEMA ukaiacha ikiwa hai tena yenye nguvu zaidi ya jana ... Amen.

Allah akulipe kwa kukuvunja vunja mbavu zako huko JEHANAM kama ulivyo vunja nyumba za watu wa kimara na kisha ukawaacha wa Mwanza eti kwakua wapiga kura wako ... Amen!!!

Allah akuzibe mdomo kwa kaa la moto wa JAHANAM kama ulivyoviziba mdomo vyombo vya habari nchini ... Amen.

Allah akufunge minyororo ya moto wa JAHANAM kama ulivyo wafunga watu kwa makosa ya kuwabambikia kesi za utakatishaji na uhujumu uchumi ... Amen.

Allah akutupe kwenye shimo la chini kabisa la moto wa JAHANAM kama ulivyowatupa kina Ben Sa'8 na Azori Gwanda kwenye vitoba baharini ... Amen.

Allah aining'inize roho yako katika tanuru la moto wa JEHANAM kama ulivyo waning'iniza kina Roma na Mdude ... Amen.

Allah akupoteze usijulikane teeena kama lile kundi lako la kuteka, kutesa na kuua watu la WASIOJULIKANA pia awalaaani wote wanao Lilia Legacy yako nao wapoteee kama ulivyopotea wewe.
Amen.

Jamani wote tuseme Aaamin.
 
1.Chato International Airport
2.Chato National Park
3.Trafic light Chato
4.3 star hotel Chato (TANAPA)
5.Bohari ya kanda madawa Chato
6.Hospital ya rufaa Chato
7.Stadium (proposa)
8.CRDB Chato
Kwani chato sio Tanzania hapastahili kupata maendeleo?acheni wivu, chuki, na uzandiki
 
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa


Hakujenga alibomoa


Hakuunganisha alivunja


Hakurekebisha aliharibu


Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe


Kwa lipi labda??

Magufuli kuhusu bomoa bomoa


Kimara :Wavunjiwe hakuna fidia hata senti tano

Mwanza : Nimezuia wasivunjiwe kwa sababu ni wapiga kura wangu

Nikifikiria hapo tu kwakweli He should Rest In Problem na alipwe anachostahili

Nilisema humu: wakitaka marehemu asisemwe vibaya,wawe wa kwanza kuacha kumpamba maana kunaamsha hasira na machungu ya watu.

Kwa kifupi, chini ya utawala wa Magufuli, watu wametendewa uovu na ukatili mkubwa, hivyo ni bora wapambe wake wamuombee msamaha na si kumpamba na kutaka kufanya watu wajinga.

Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu


Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi


Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame


Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi


Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili
 
Wewe dikteta uchuro

Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa

Hakujenga alibomoa

Hakuunganisha alivunja

Hakurekebisha aliharibu

Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe

Kwa lipi labda??

Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu

Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi

Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame

Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi

Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
 
Wewe dikteta uchuro

Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa

Hakujenga alibomoa

Hakuunganisha alivunja

Hakurekebisha aliharibu

Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe

Kwa lipi labda??

Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu

Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi

Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame

Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi

Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
Wape vidonge vyao Mataga wote!! mama D , njoo uchukue kidonge chako huku ili upate nafuu. Mwenzako jingalao , tayari ameshakunywa.
 
Back
Top Bottom