Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mimi nikienda Marekani mwezii huu naanza kutumia jina la Magufuli kwenye uko wangu. Maana dunia nzima inamtambua kwa ushuja.Wewe dikteta uchuro
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa
Hakujenga alibomoa
Hakuunganisha alivunja
Hakurekebisha aliharibu
Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe
Kwa lipi labda??
Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu
Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi
Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame
Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi
Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
😂😂😂😂😂😂huyo mwamba bado Roho ya JPM inamtesa.JPM kawanyoosha akiwa hai na anaendelea kuwanyoosha hata sasa na bado🤣🤣🤣
Hata Hitler dunia nzima inamtambua.Mimi nikienda Marekani mwezii huu naanza kutumia jina la Magufuli kwenye uko wangu. Maana dunia nzima inamtambua kwa ushuja.
Sasa mbona inaonekana kuwa ni ruksa kumsema kwa mazuri yake, ila ukimsema kwa mabaya yake ina kuwa humtendei haki?!!kama ni hivyo tuache yote basiKishakufa,tusonge mbele. Yaliyopita yameshapita.
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa
Hakujenga alibomoa
Hakuunganisha alivunja
Hakurekebisha aliharibu
Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe
Kwa lipi labda??
Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu
Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi
Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame
Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi
Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili
Kuna uwezekano wewe ni yatima hujui hata kizazi chako ndio maana inabidi ushobokee ukoo wa watu wengine ili ujifariji.Mimi nikienda Marekani mwezii huu naanza kutumia jina la Magufuli kwenye uko wangu. Maana dunia nzima inamtambua kwa ushuja.
Inatakiwa afufuke halafu afe tena...Kishakufa,tusonge mbele. Yaliyopita yameshapita.
Mie aliniamsha usingizini..baasiKila mtu na mtizamo wake,ndio uzuri wa demokrasia,ila Magu for me ni best president baada ya Nyerere so sio lazima wote mfanane.