Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Nilisema humu: wakitaka marehemu asisemwe vibaya,wawe wa kwanza kuacha kumpamba maana kunaamsha hasira na machungu ya watu.

Kwa kifupi, chini ya utawala wa Magufuli, watu wametendewa uovu na ukatili mkubwa, hivyo ni bora wapambe wake wamuombee msamaha na si kumpamba na kutaka kufanya watu wajinga.
 
Wewe dikteta uchuro

Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa

Hakujenga alibomoa

Hakuunganisha alivunja

Hakurekebisha aliharibu

Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe

Kwa lipi labda??

Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu

Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi

Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame

Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi

Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili..
Mimi nikienda Marekani mwezii huu naanza kutumia jina la Magufuli kwenye uko wangu. Maana dunia nzima inamtambua kwa ushuja.
 
Huyu bwana hakua na jema lolote kwa taifa


Hakujenga alibomoa


Hakuunganisha alivunja


Hakurekebisha aliharibu


Huyu mtu hafai wala hatofaa kamwe


Kwa lipi labda??


Wanaomfagilia ni wanufaika mfumo wake tu


Nachukia sana madikteta tena madikteta wasio na akili na washamba washamba hivi


Huwezi ukawa kiongozi halafu ukawa unapendelea kabila lako tuu this is shame


Ukwende na upumzike panapostahili sijawahi kukupenda na sitokupenda kamwe nakuchukia sana natamani nahisi hata hilo pigo halitoshi


Umeliharibu taifa letu........pumzika huko ulipo una ulipwe unalostahili


🤣🤣🤣alikua mbabaifu
 
Watu mkilala mkiamka mnamuota Magufuli, ndo maana wapinzani wa JPM walikuwa ni wa kwanza kuwahi kwenye TV kuangalia hotuba zake kila alipokuwa anahutubia. Waafrika wana tabia moja, huwa wakifeli kimaisha wanatafuta sababu ya kulaumu kufeli kwao, kipindi cha awamu ya tano hawa watu wameongezeka sana. Nina uhakika wa 100% mpaka 2025 watakuwa wanamlaumu mama Samia vibaya sana. Mfano kwa JF watu kama Salry Slp,Mmawi.a nk wapo wengi. Hawa huwa wanalaumu kila serikali inayokuja kwa kufeli kwao maisha kumbe sababu ni uvivu wao na kushinda mitandaoni 24/7, kama watu wana win maisha nchi kama Somalia au Sudan ambazo ni vurugu miaka yote,unashindwaje kutoboa bongo!??.. Ukiwa mlalamishi huwezi kutoboa maishani, utamlaumu mpaka mzazi wako kwamba kwanini hakupambana awe mbunge au waziri,hiyo ni kama laana. Sasa hivi mnamlaumu mtu aliyekufa, hiyo ni AKILI kweli!?????????
 
Back
Top Bottom