Mtahangaika sana na Magufuli lakini mama kasema anaendeleza ya Magufuli.
Mkitaka mjinyonge ama mhame nchi.
Kanikera sana, hivi wanamjua dikteta hawa mashoga?
Mpk yupo anaandika hapa dikteta kamuacha tu, fala sana.
Magu ana makosa yake lakini hata siku moja kumuita dikteta binadamu hatuna shukrani.
Itakaa sawa tuMwenyezi Mungu fundi sana kasikiliza sala zetu au nchi ingeanguka kwa kishindo kikubwa sana lakini pamoja na hii ahueni kubwa hali bado tete.
Ndio baba yao alivyowatia ujinga. anasimama majukwaani anasema haleti maendeleo kwenye jimbo la mpinzani. halafa badae anasema maendeleo hayana chama. Anajielewa huyo?Unawaponda wachaga kwa ukabila, mstari unaofuata unasema kanda ya ziwa ndio mtadetermine urais wa nchi hii....aliewaita nyinyi washamba hakukosea na nina hakika kosa halitajirudia daima katika nchi hii! Yaonekana kumbe unamtetea mtu wa kanda yako na sio uahalisia wa mambo, nchi hii ina watu wa ajabu sana...sasa nini tofauti yako wew mwenye mawazo hayo na wachaga
Kosa gani halitajirudia?Unawaponda wachaga kwa ukabila, mstari unaofuata unasema kanda ya ziwa ndio mtadetermine urais wa nchi hii....aliewaita nyinyi washamba hakukosea na nina hakika kosa halitajirudia daima katika nchi hii! Yaonekana kumbe unamtetea mtu wa kanda yako na sio uahalisia wa mambo, nchi hii ina watu wa ajabu sana...sasa nini tofauti yako wew mwenye mawazo hayo na wachaga
Kawanyoosha hadi raha hawatomsahau. Asante jpmAnawatesa hadi wanajuta kuzaliwa bongo
Asaanteee wajinga tu ndo wanamchukia jpm.ila alijua kunifurahisha, aliwanyoosha hatariItakuwa ni ushenzi uliokithiri, Muuza ngada kumpenda Magufuli!!
Itakuwa ni upumbavu, mwenye vyeti feki amfurahie Magufuli,
Ni upumbavu pia, Kwa fisadi eti aseme alimpenda Magufuli
Ni ujinga pia, Kwa aliyezoea kula Vya kunyonga eti naye aseme alimpenda Magufuli,
Na hata huyu jamaa ni miongoni mwa hao, hawezi kumpenda Magufuli,
Washenzi ninyi mmekuwa sababu ya vijana weengi kufa Kwa sababu ya biashara yenu haramu ya dawa za kulevya
Sasa mnamwambia Nani?Jamaa alikuwa mkabila sana, pia alipenda kuabudiwa kitu ambacho ni dhambi kubwa....
Ana damu za watu wengi sana wasio na hatia mikononi mwake ukiachilia mbali aliowatesa na kuwafanya vilema wa maisha.
Katugawa sana watanzania huyu jamaa.