Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kosa gani halitajirudia?
Kanda ya ziwa ndio tuta determine urais wa nchi hii, ukubali ukatae huo ndio ukweli.
Tuna account over 40% ya wapiga kura wa nchi hii.
Sisi ndio tutaamua nani awe rais na hilo halina ubishi.
Mtaruka ruka lakini tutawakalisha chini mtake msitake.
Sasa kama tuna account 40% ya wapiga kura mtatufanyaje? We have an upper hand inapofikia jambo la uchaguzi.Thubutu yenu tumeshawajua vizuri sasa kwamba ni watu wa aina kani.
Ujinga wakati wa kwenda kurudi werevu [emoji108][emoji108]
[emoji3][emoji3][emoji3] kwanini hamjadetermine miaka yote? Una mawazo finyu sana wewe mwambaKosa gani halitajirudia?
Kanda ya ziwa ndio tuta determine urais wa nchi hii, ukubali ukatae huo ndio ukweli.
Tuna account over 40% ya wapiga kura wa nchi hii.
Sisi ndio tutaamua nani awe rais na hilo halina ubishi.
Mtaruka ruka lakini tutawakalisha chini mtake msitake.
Kosa la kuwapa madaraka wapuuziKosa gani halitajirudia?
Kanda ya ziwa ndio tuta determine urais wa nchi hii, ukubali ukatae huo ndio ukweli.
Tuna account over 40% ya wapiga kura wa nchi hii.
Sisi ndio tutaamua nani awe rais na hilo halina ubishi.
Mtaruka ruka lakini tutawakalisha chini mtake msitake.
Sasa kama tuna account 40% ya wapiga kura mtatufanyaje? We have an upper hand inapofikia jambo la uchaguzi.
Yaani tushajua utamu wa uongozi na bado tuna wapiga kura wengi hivyo mpira uko upande wetu muda wote.
Nyie mtaishia kulia lia mitandaoni. Mtakua mnatuombea tu tufe labda.
Miaka ya nyuma tulikua tumekubali kua Watanzania, tusioegemea ukabila ila sasa tumegundua huo ni uhayawani.[emoji3][emoji3][emoji3] kwanini hamjadetermine miaka yote? Una mawazo finyu sana wewe mwamba
Mkuu mark my words, utakuja kukumbuka nachokwambia.Kumbukumbu imeshaingia kwenye hansad hiyo kupata u supreme ni majaliwa [emoji38][emoji38][emoji38]
Ujinga wakati wa kwenda kurudi werevu [emoji3][emoji3]
Thibitisha madai yako.Jamaa alikuwa mkabila sana, pia alipenda kuabudiwa kitu ambacho ni dhambi kubwa....
Ana damu za watu wengi sana wasio na hatia mikononi mwake ukiachilia mbali aliowatesa na kuwafanya vilema wa maisha.
Katugawa sana watanzania huyu jamaa.
Kimara : Wavunjiwe hakuna fidia hata senti tano
Mwanza : Nimezuia wasivunjiwe kwa sababu ni wapiga kura wangu
Nikifikiria hapo tu kwakweli He should Rest In Problem na alipwe anachostahili
Yeye mwenyewe huko alipo ananyooshwa na shetani, kila siku anachezea ukuni
Mbona alipokua hai mlikua hamsemi Kama sio unafiki huo