Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Kosa gani halitajirudia?
Kanda ya ziwa ndio tuta determine urais wa nchi hii, ukubali ukatae huo ndio ukweli.
Tuna account over 40% ya wapiga kura wa nchi hii.
Sisi ndio tutaamua nani awe rais na hilo halina ubishi.
Mtaruka ruka lakini tutawakalisha chini mtake msitake.
Thubutu yenu tumeshawajua vizuri sasa kwamba ni watu wa aina kani.
Ujinga wakati wa kwenda kurudi werevu [emoji108][emoji108]