Mkaruka
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 19,629
- 34,199
Na hili litawatafuna watumishi mpaka siku wanaingia kaburini.Kuwaweka wafanyakazi wa Uma miaka 7 bila nyongeza ya mshahara wala kupanda daraja. Hili haliwezi kusahaulika
Wengi viinua mgongo hata 80M hawatafikisha.