Jana toka saa kumi na nunua umeme unagoma nimelala gizani na jirani hana umeme kama Mimi!nielekeze umenunuaje?!nimejaribu airtel halotel na tigo piaKuna wajinga wamezusha eti umeme haununuliki kwenye simu nimewasceenia nilinunua Jana kupitia TIGO pesa saa 11 jioni wameingia mitini. Matendo anajifanya Mama ni mwiba Kwa vibaraka WA Dicteta waliachwa ndio maana wanampaka Mama matope asiyostahili.
Jana toka saa kumi na nunua umeme unagoma nimelala gizani na jirani hana umeme kama Mimi!nielekeze umenunuaje?!nimejaribu airtel halotel na tigo pia
Nilijaribu mara ya kwanza nilikuwa na balance SHS 3800 nikataka kununua yote kumbe kuna gharama ya SHS 60 muamala ukasitishwa kujaribu 3700 ikakubali nikauweka. Niko Dar , inawezekana ni baadhi ya maeneo ndio kuna shida.Jana toka saa kumi na nunua umeme unagoma nimelala gizani na jirani hana umeme kama Mimi!nielekeze umenunuaje?!nimejaribu airtel halotel na tigo pia
Wewe ni mataga tuu. Hapo kwenye uzi wako ulipoanza kusema wewe sio ccm wala Chadema nikajua we hamnazo.Kusoma sio lazima uajiliwe na serikali. Mi mingekuwa na mindset kama zako...sasa hivi ningekuwa nazunguka mtaani na bahasha zangu. Ila Kwa sababu nilijua suala ajira ni shida dunia nzima niliamua kutoka ili nijishughulishe na inshallah baada ya miaka2 nategemea kufungua shule ya watoto. Vipi mkuu, unatafuta kazi?
mi naishi jiji la Dar Es Salaam, labda wewe ndio unaishi shimoniUnaishi wapi mkuu? Mi sijawahi shuhudia umeme ukikatika siku mzima kipindi cha JPM. Na tulipewa taarifa.
Kama umkumbuka mfate alipo ili muwe mnapeana umeme!
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.
Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.
Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.
Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.
Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.
Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.
Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.
Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.
UPDATE:
Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!
Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Huku Ifakara Mahenge walianza kukata jumanne na alhamisi kimya kimya bila taarifa sahiz miaka miwili inakatika na tumeshazoea!Tatizo watu wanajidai kusahau, kutokutangazwa kuwa umeme haukatiki sio kuwa ni kweli haukutaki. Umeme ulikuwa unakataika, sema Shujaa alipiga marufuku kutangazwa migao, ikawa inaendelea chini chini. Mfumo wa Luku pia umewahi kusumbua hii si mara ya kwanza. Na yote haya taarifa imetolewa.
wafanyakazi wa serikali bila mkwara hawafanyi kazi hasa viongozi. Yaani Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akiwabembeleza hali itazidi kuwa mbaya siku hadi siku kwani muda mwingi hutumika kwa mambo binafsi na kupiga madili huu ndio ukweli ingawa nitapingwa vikali sana.
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.
Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.
Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.
Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.
Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.
Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.
Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.
Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.
UPDATE:
Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!
Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Dah, nilivosoma hii nimeumia sana, aki machozi yakanilenga kabisaAcha mambo yako! Hapa npo naishi mtaa wa Bugando, jijini Mwanza Toka mwezi wa 12 mwaka jana mtaa jirani wa Igogo kusini kila siku umeme ikifika saa 1 lazima ukate na urudi saa 5 au 6 usiku na siku zingine asubuhi ya siku inayofata, ila kuanzia mwezi wa 3 mwishoni tatizo halipo saiv naona umeme upo 24hrs labda zitokee inevitable emergencies za kawaida...
Ndio natafuta kaziKusoma sio lazima uajiliwe na serikali. Mi mingekuwa na mindset kama zako...sasa hivi ningekuwa nazunguka mtaani na bahasha zangu. Ila Kwa sababu nilijua suala ajira ni shida dunia nzima niliamua kutoka ili nijishughulishe na inshallah baada ya miaka2 nategemea kufungua shule ya watoto. Vipi mkuu, unatafuta kazi?
Soma uzi wangu vizuri, usitumie hisia tumia akili utanielew
Kuna wajinga wamezusha eti umeme haununuliki kwenye simu nimewasceenia nilinunua Jana kupitia TIGO pesa saa 11 jioni wameingia mitini. Matendo anajifanya Mama ni mwiba Kwa vibaraka WA Dicteta waliachwa ndio maana wanampaka Mama matope asiyostahili.
Wabongo bana 🤣🤣 kuna vitu vipo technical sana wala vitu hivyo havitengemai kwa kauli za mtu. Hata akiwepo kuna wakati dar umeme ulikua unakatika asubuh unarud jion. Na issue ya kununua luku ule ni mfumo unaweza pata tatizo mda wowote, na ishatokea kipindi akiwepo kununua umeme ulikua changamoto sana baada ya cku chache hali ikarud kawaida
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.
Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.
Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.
Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.
Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.
Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.
Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.
Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.
UPDATE:
Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!
Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Hii ndio point sasa, system kusumbua kwa masaa au siku mbili sio shida sana lakin kuna sehemu umeme unakatwa mwezi, miezi unawaka usiku tu na hakuna tamko lolote hii ndio inaumiza sana tena sana! Ndio maana mi naona makosa ya inconveniences kama hizi kuwe kuna adhabu kama za China tu ili viongozi wawe wanajua thamani ya waliowaweka pale na machungu ya kulipa kodi!Wabongo bana 🤣🤣 kuna vitu vipo technical sana wala vitu hivyo havitengemai kwa kauli za mtu. Hata akiwepo kuna wakati dar umeme ulikua unakatika asubuh unarud jion. Na issue ya kununua luku ule ni mfumo unaweza pata tatizo mda wowote, na ishatokea kipindi akiwepo kununua umeme ulikua changamoto sana baada ya cku chache hali ikarud kawaida
MBONA KAMA HUFURAHI UTAWALA WA MAMAKabisa mkuu!
Nashauri hili suala la luku liwe endelevu, yani tukae mwezi au zaidi bila luku kufanya kazi, ili tuwakomoe sukuma gang, mataga na marehemu.
Huku tukiiimba mi 10 tena kwa Samia na ccm mbele kwa mbele
Sio kwamba umeme ulikuwa haukatiki ila tofauti na Sasa hivi umeme unakatika huoni jitihada zozote. Raisi kimya , Waziri kimya Hadi Bunge kimya.Hivi kipindi cha Magufuli umeme si kuna kipindi ulikuwa unakatika nchi nzima hadi watu wakaanza kuhisi kuna mgao wa kimya kimya?
Nakumbuka ilikuwa mwezi Februari mwaka huu hadi watu wakaanza kuhoji hiyo reli ya SGR itatengenezwaje
Hebu soma nyuzi hizi za kipindi cha JPM watu wakilalamikia mgao wa umeme wa kimya kimya
Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya
Maeneo mengi kukatika umeme hasa dar imekuwa sehemu ya maisha umeme kukatika saa sita hadi nane kwa siku bila taarifa zozote hii ni kila siku tena unaweza kukatika mara nyingi kwa siku unakuja unakata unarudi unakatika tena . TANESCO wanataka kuturudisha miaka ya 2000-2015 ni vyema mh rais...www.jamiiforums.com
Dar Kuna mgao wa umeme wa kimya kimya?
Wakuu ni siku ya tatu sasa mtaa ninaokaa huku Kimara umeme unakatwa masaa 8 Hadi zaidi kwa siku Nauliza ni mtaa wa kwetu tu ama Ni sehemu nyingine? Isije ikawa Ni mgao wa umeme umeanza kimyakimyawww.jamiiforums.com
Hivi TANESCO siku hizi kuna mgao wa kimya kimya?
Yani siku hizi umeme hautabiliki huku Bunju, ikipita siku haujakatika basi ni ajabu. Wataka asubuhi warudishe saa 8 au 11, au watakata saa tano warudishe saa 10. Hii Tanzania ya Viwanda itapatikana kwa umeme wa namna hii? Miezi kadhaa nyuma mlikuwa mkikata umeme mkiulizwa mnasema eti...www.jamiiforums.com
Mgao wa umeme umeanza kimya kimya Arusha
Hapo vip!! Huku maeneo ya Ngulelo, Kimandolu Sekei n.k umeme umekuwa unakatwa kuanzia saa 8 nane mchana mapaka siku inayofuatwa. Kitu ambacho wananchi wenzangu wanalalamika ni kutopewa taarifa ili wapambane na hali ya hilisi kwasababu kuna watu wanategemea umeme kuingiza kipato. Mfano...www.jamiiforums.com
umeme labda unakatika huko kwenu kutokana na matengenezo, mimi wiki nzima haujawahi kukatikaSio kwamba umeme ulikuwa haukatiki ila tofauti na Sasa hivi umeme unakatika huoni jitihada zozote. Raisi kimya , Waziri kimya Hadi Bunge kimya.
Kipindi Cha Magu umeme ulikuwa unakatika ila lazima issue iwe addressed hata na Waziri Asap. Sio Sasa hivi Mambo yanajiendea tu.
Wewe umeendeshwa na hisia zaidi.. Kwa sababu umesema umemkumbuka kwa kupitia suala la umeme... Kwa mantiki hiyo , ulishamsahau ila kadhia ya umeme ndio imekufanya ukukumbe..... Kama pasingekuwa na tatizo la umeme usingesema lolote ... Basi kwa taarifa mtu anapimwa kwa mambo mengi sio jambo moja ... Kero moja haifanyi umkubali au kutomkubali mtu.. Pimia katika ujumla wake... Kama ni umeme mimi sijapata tatizo lolote la umeme na utawala wa mama uko vizuri, sijaona tatizo la kunifanya eti nimkumbe JPM.... Kazi iendelee
Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.
Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.
Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.
Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.
Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.
Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.
Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.
Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.
UPDATE:
Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!
Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda utaongea!
Jiandae na miungurumo ya mijenereta kila kona!
Utawala wa JK na Magufuli umetufumbua macho sana watz.
Samia lazima afikire pia watz hawa ni waafrika sawa na wale wanaoua wenzao kule congo ili wapore madini.
Subirini tu, miezi 3 ijayo mtaanza kulipwa mishahara kwa wawamu.
Huwezi kumwambia mtanzania alipe kodi bila fimbo ukategemea atalipa. Kwa mtz yupi? Huyuhuyu anaefurahia sana konda wa daladala akisahahu kumdai nauli?