Je, utamkumbuka Hayati Magufuli kwa mambo gani?
Kuna wajinga wamezusha eti umeme haununuliki kwenye simu nimewasceenia nilinunua Jana kupitia TIGO pesa saa 11 jioni wameingia mitini. Matendo anajifanya Mama ni mwiba Kwa vibaraka WA Dicteta waliachwa ndio maana wanampaka Mama matope asiyostahili.
Jana toka saa kumi na nunua umeme unagoma nimelala gizani na jirani hana umeme kama Mimi!nielekeze umenunuaje?!nimejaribu airtel halotel na tigo pia
 
Jana toka saa kumi na nunua umeme unagoma nimelala gizani na jirani hana umeme kama Mimi!nielekeze umenunuaje?!nimejaribu airtel halotel na tigo pia

Screenshot_20210519-083114.png
 
Jana toka saa kumi na nunua umeme unagoma nimelala gizani na jirani hana umeme kama Mimi!nielekeze umenunuaje?!nimejaribu airtel halotel na tigo pia
Nilijaribu mara ya kwanza nilikuwa na balance SHS 3800 nikataka kununua yote kumbe kuna gharama ya SHS 60 muamala ukasitishwa kujaribu 3700 ikakubali nikauweka. Niko Dar , inawezekana ni baadhi ya maeneo ndio kuna shida.
 
Kusoma sio lazima uajiliwe na serikali. Mi mingekuwa na mindset kama zako...sasa hivi ningekuwa nazunguka mtaani na bahasha zangu. Ila Kwa sababu nilijua suala ajira ni shida dunia nzima niliamua kutoka ili nijishughulishe na inshallah baada ya miaka2 nategemea kufungua shule ya watoto. Vipi mkuu, unatafuta kazi?
Wewe ni mataga tuu. Hapo kwenye uzi wako ulipoanza kusema wewe sio ccm wala Chadema nikajua we hamnazo.
 

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.

Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.

Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.

Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.

Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.

Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.

Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.

Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.

UPDATE:

Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!

Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Kama umkumbuka mfate alipo ili muwe mnapeana umeme!
 
Tatizo magufuli alilazimisha kampuni/mashirika yote za serikali kuwatumia TTCL kwenye maswala ya mawasiliano wakati TTCL wenyewe hawajiwezi. Tatizo halijaanza leo kwenye mawasiliano ila kwa kuwa haikuruhusiwa kutoa taarifa enzi zake wengi mtaona ni jambo jipya kwa kuwa tu limewagusa wengi (watumiaji hata wa hali ya chini) Watu wanaolipa kodi TRA wameshazoe hali hii mbona.
 
Tatizo watu wanajidai kusahau, kutokutangazwa kuwa umeme haukatiki sio kuwa ni kweli haukutaki. Umeme ulikuwa unakataika, sema Shujaa alipiga marufuku kutangazwa migao, ikawa inaendelea chini chini. Mfumo wa Luku pia umewahi kusumbua hii si mara ya kwanza. Na yote haya taarifa imetolewa.
Huku Ifakara Mahenge walianza kukata jumanne na alhamisi kimya kimya bila taarifa sahiz miaka miwili inakatika na tumeshazoea!
 

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.

Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.

Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.

Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.

Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.

Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.

Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.

Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.

UPDATE:

Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!

Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
wafanyakazi wa serikali bila mkwara hawafanyi kazi hasa viongozi. Yaani Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan akiwabembeleza hali itazidi kuwa mbaya siku hadi siku kwani muda mwingi hutumika kwa mambo binafsi na kupiga madili huu ndio ukweli ingawa nitapingwa vikali sana.
 
Acha mambo yako! Hapa npo naishi mtaa wa Bugando, jijini Mwanza Toka mwezi wa 12 mwaka jana mtaa jirani wa Igogo kusini kila siku umeme ikifika saa 1 lazima ukate na urudi saa 5 au 6 usiku na siku zingine asubuhi ya siku inayofata, ila kuanzia mwezi wa 3 mwishoni tatizo halipo saiv naona umeme upo 24hrs labda zitokee inevitable emergencies za kawaida...
Dah, nilivosoma hii nimeumia sana, aki machozi yakanilenga kabisa
Ila tuseme kwenye hii nchi kuna unyanyasaji ambao hautakiwi kunyamaziwa kabisa, mh!
 
Kusoma sio lazima uajiliwe na serikali. Mi mingekuwa na mindset kama zako...sasa hivi ningekuwa nazunguka mtaani na bahasha zangu. Ila Kwa sababu nilijua suala ajira ni shida dunia nzima niliamua kutoka ili nijishughulishe na inshallah baada ya miaka2 nategemea kufungua shule ya watoto. Vipi mkuu, unatafuta kazi?
Ndio natafuta kazi
 
Bora Tukae Giza kama ndio hivyo...Lakini Umeme umekua unakatika hata yeye akiwepo..

SUALA HAPA ni kwamba walikua hawasemi lolote leo kuna uhuru wewe unasema ndio mana lazima umkumbuke.
 

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.

Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.

Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.

Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.

Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.

Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.

Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.

Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.

UPDATE:

Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!

Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Wabongo bana 🤣🤣 kuna vitu vipo technical sana wala vitu hivyo havitengemai kwa kauli za mtu. Hata akiwepo kuna wakati dar umeme ulikua unakatika asubuh unarud jion. Na issue ya kununua luku ule ni mfumo unaweza pata tatizo mda wowote, na ishatokea kipindi akiwepo kununua umeme ulikua changamoto sana baada ya cku chache hali ikarud kawaida
 
Wabongo bana 🤣🤣 kuna vitu vipo technical sana wala vitu hivyo havitengemai kwa kauli za mtu. Hata akiwepo kuna wakati dar umeme ulikua unakatika asubuh unarud jion. Na issue ya kununua luku ule ni mfumo unaweza pata tatizo mda wowote, na ishatokea kipindi akiwepo kununua umeme ulikua changamoto sana baada ya cku chache hali ikarud kawaida
Hii ndio point sasa, system kusumbua kwa masaa au siku mbili sio shida sana lakin kuna sehemu umeme unakatwa mwezi, miezi unawaka usiku tu na hakuna tamko lolote hii ndio inaumiza sana tena sana! Ndio maana mi naona makosa ya inconveniences kama hizi kuwe kuna adhabu kama za China tu ili viongozi wawe wanajua thamani ya waliowaweka pale na machungu ya kulipa kodi!
 
Kabisa mkuu!

Nashauri hili suala la luku liwe endelevu, yani tukae mwezi au zaidi bila luku kufanya kazi, ili tuwakomoe sukuma gang, mataga na marehemu.

Huku tukiiimba mi 10 tena kwa Samia na ccm mbele kwa mbele
MBONA KAMA HUFURAHI UTAWALA WA MAMA

ova
 
Hivi kipindi cha Magufuli umeme si kuna kipindi ulikuwa unakatika nchi nzima hadi watu wakaanza kuhisi kuna mgao wa kimya kimya?

Nakumbuka ilikuwa mwezi Februari mwaka huu hadi watu wakaanza kuhoji hiyo reli ya SGR itatengenezwaje

Hebu soma nyuzi hizi za kipindi cha JPM watu wakilalamikia mgao wa umeme wa kimya kimya




Sio kwamba umeme ulikuwa haukatiki ila tofauti na Sasa hivi umeme unakatika huoni jitihada zozote. Raisi kimya , Waziri kimya Hadi Bunge kimya.


Kipindi Cha Magu umeme ulikuwa unakatika ila lazima issue iwe addressed hata na Waziri Asap. Sio Sasa hivi Mambo yanajiendea tu.
 
Sio kwamba umeme ulikuwa haukatiki ila tofauti na Sasa hivi umeme unakatika huoni jitihada zozote. Raisi kimya , Waziri kimya Hadi Bunge kimya.


Kipindi Cha Magu umeme ulikuwa unakatika ila lazima issue iwe addressed hata na Waziri Asap. Sio Sasa hivi Mambo yanajiendea tu.
umeme labda unakatika huko kwenu kutokana na matengenezo, mimi wiki nzima haujawahi kukatika
 

Nianze kwa kusema kuwa mimi sio mwana CCM wala CHADEMA. Mimi huwa napenda uongozi mzuri na kiongozi mzuri na sio chama alichotokea. Hayati Dr. Magufuli alifanya mambo mengi sana na aliumiza wengi kwa ajili ya public interests na huu ndio ukweli haijalishi watu wakapinga.

Toka afariki, na usukani kukamatwa na Mheshimiwa Mama Samia kuna mambo mengi yametokea ambayo kwa wengi hasahasa sie wapenda haki yanatupa Faraja sana. Vivyo, hivyo kuna mabadiliko ambayo kimsingi yatatufanya tumkumbuke hayati Magufuli tu.

Mwenzenu baada ya kuhitimu sijabahatika kuajiliwa sasa nina miaka 2 mtaani. Alhamudulillah, nimefungua saloon ya kunyoa na pia nina duka la vinywaji baridi hapa mtaani kwetu.

Kinachonifanya nimkumbuke John Pombe Magufuli ni swala la umeme shughuli zangu zimesimama kwa sababu ya umeme. Kwaa siku umeme unakata hovyo hovyo bila sababu za msingi. Na taarifa haitolewi.

Tangu Jtatu, mfumo wa kununua umeme mtandaoni haufanyikazi, LUKU imeisha tangu jana saa 7 alasiri mpaka sasa mfumo unasumbua, wafanyakazi wangu (Kinyozi na muuza duka) siwalipi posho maana hakuna kazi bila umeme.

Kipindi cha mwendazake, kabla ya umeme kukata tulikuwa tunapewa taarifa, na haikuchukua muda, unarudi. Mfumo wa ununuaji wa LUKU ulisumbua kwa dakika chache tu.

Kwani Mama Samia si ulikuwa msaidizi wa rais John Pombe Magufuli, hakukuachia mbinu za kukomesha janjajanja za wafanyakazi TANESCO? Kama unaona waziri hafai tumbua weka mwingine. Tumia nguvu. Waafrika wengi bado ni washenzi sio wa kuwadekeza na kuwabeba mgongoni kwa mbeleko ya demokrasia na protoko.

Ni hayo tu jamani, nimeanza kumkumbuka John Pombe Magufuli.

UPDATE:

Jamani ili uelewe nilichoandika, weka hisia pembeni, tumia akili!

Sijasema kipindi cha JPM umeme haukukatika.
Wewe umeendeshwa na hisia zaidi.. Kwa sababu umesema umemkumbuka kwa kupitia suala la umeme... Kwa mantiki hiyo , ulishamsahau ila kadhia ya umeme ndio imekufanya ukukumbe..... Kama pasingekuwa na tatizo la umeme usingesema lolote ... Basi kwa taarifa mtu anapimwa kwa mambo mengi sio jambo moja ... Kero moja haifanyi umkubali au kutomkubali mtu.. Pimia katika ujumla wake... Kama ni umeme mimi sijapata tatizo lolote la umeme na utawala wa mama uko vizuri, sijaona tatizo la kunifanya eti nimkumbe JPM.... Kazi iendelee
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Muda utaongea!

Jiandae na miungurumo ya mijenereta kila kona!

Utawala wa JK na Magufuli umetufumbua macho sana watz.

Samia lazima afikire pia watz hawa ni waafrika sawa na wale wanaoua wenzao kule congo ili wapore madini.

Subirini tu, miezi 3 ijayo mtaanza kulipwa mishahara kwa wawamu.

Huwezi kumwambia mtanzania alipe kodi bila fimbo ukategemea atalipa. Kwa mtz yupi? Huyuhuyu anaefurahia sana konda wa daladala akisahahu kumdai nauli?

[emoji23][emoji23][emoji23] tutaona mengi sana, hapo ndipo alipoanza kufeli
 
Back
Top Bottom