Binafsi nimeuzunika na kuna mengi nimenufaika siwezi kutaja kimoja kimoja ila alikuwa mtu makini sana sana kwa wananchi wa daraja la kati na chini kabisa.

R.I.P my president tutaonana baadae.
 
RAIS ASIYEJALI ASIYE NA CHEMBE YA UTU!
He was in a class of his own,,special case..
Nitamkumbuka kwa kusisitiza kuhamia dodoma,,miradi mikubwa kama reli ya umeme,bwawa la umeme,barabara etc
 
Mi kiukweli nilikuwa nafurahia mabarabara yalivyopanuliwa na kila sehemu lami tu ( kwa sisi wakazi wa dar)

Yaan mi nilikuwa ni kuteleza tu barabarani hadi raha...

RIP John
 
Nitamkumbuka kwa mema yenye tija na maendeleo kwa nchi yetu. Hakika ni Rais wa kipekee kwangu aliutendea haki utendaji kazi wake bila kumuogopa binadam yeyote. Mungu ampumzishe kwa amani kiongozi wetu aliyekuwa na uthubutu wa kufanya mambo.

[emoji992][emoji992][emoji992][emoji992][emoji992] [emoji992][emoji992][emoji992][emoji992][emoji992][emoji992][emoji992][emoji992]l[emoji992][emoji992][emoji992][emoji992]
 
"Nitumbue au nisitumbue?"
"Tumbuaaaaaa"

Hakutoa ajira kwa vijana huku akijua wanadharaulika na mashemeji huko mtaani.

Asubuhi njema, Asubuhi njema, Asubuhi njema.
 
Ukipata nafasi ya kusafiri, kuzunguka mikoa tofauti tofauti ndio utagundua kuwa taifa limepoteza mtu muhimu sana, maana ni mpaka kule ulikokuwa hutarajii kuona maendeleo kuko vizuri.
 
1. Maana halisi ya demokrasia na utawala wa sheria kimatendo
2. Malipo ya Makufuru kwa Mungu muumbaji ni hapa hapa
3. Utawala wa wasiojulikana ndani ya dola huru
4. maumivu kwa wapinzani
5. Ukanda ya ziwa
6. Kushamiri kwa ukabila; na kutuachia vipande vya taifa letu
RIP John Bwana amekupenda zaidi. Pumzika sasa
 
Kurudisha wanafunzi shuleni during corona outbreak.
Magufuli ni kamanda na ameshaumaliza. Mwendo apumzike kwa amani[emoji120]
 
Huyu si ndiye aliyeiba kura uchaguzi uliopita au siyo yeye?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…