Kwa Hiyo anakusikia??? Hebu tujifunze Kufikiri kwa Kina Kabla hatujatenda Lolote
 
Subirini miaka 10 ipite ndo mlete shombo zenu asante Mungu kwa uongoz wa Rais Samia
 
Maisha mazuri ya kutekana kuishi kwa hofu kubambikiziwa kesi kupigana risasi hadharani na kugawa pesa hovyo bila mpangilio ndo yalikuwa maisha mazuri kwenu siyo ? Endeleeni kulia ikibidi mwambieni gwajima na mwamposa wakamfufue
 
Tuachie mama yetu Rais mwelewa anaewekeza kwenye rasilimali watu na hiyo miundombinu .hataki visasi na nchi imetulia kuna amani upendo na kiwango cha furaha kinapanda kila siku.mama Samia oyeeee
 
Hv kisongo mtu anaruhusiwa kuwa na simu? Huu mwandiko km wa 7ya
 
Vipi watu kutekwa? Vipi watu kubambikiwa kodi na TRA? Vipi watu kutapeliwa korosho? Vipi kuharibiwa kwa biashara ya mbaazi? Vipi watu kubambikiwa kesi za utakatisaji pesa na uhujumu uchumi?

Vipi watu kuokotwa kwenye viroba? Vipi CAG aliposema matriliion ya fedha hayaonekani akafukuzwa kazi? Vipi kununua ndege bila ya kufuata taratibu na sheria za nchi? Vipi wanafunzi kunyimwa mikopo?

Vipo kudanganywa kwamba korona haipo Tanzania kama vile Mungu anakaa Tanzania? Maovu ni mengi kuliko mema. Uamuzi wa Mungu uheshimiwe.
 
Mama apunguze kucheza na Beat la Wanaharakati akitegemea atafurahisha kila mtu hao wapinzani anaowakumbatia ikifika 2023 ndo ataona rangi zao Halisi, Nashaka na Ccm kumfia mikononi
 
Hii ndiyo shida ya mwenye misukule anapokufa yeye kabla ya misukule yake. Hebu na nyie kufeni mumfuate huko.

Yeye mwenyewe Magufuli bado yuko mlangoni na kabegi kake Shetani hajamdfungulia mlango kwa kuwa kwa UOVU aliofanya kwa Watanzania hajui amuweke wapi
 
Kweli tupu na kweli kabisa. Mama anafanya uponyaji Ila yale mamisukule ya Mwendazake yana athirika kwa vile yalikuwa wanufaika wa mfumo kandamizi
 
Wazazi wako wote wapo hai?kama wako hai halali yako kumlilia mwehu maana msiba bado haujakupata,kama wote au mmoja wapo kafa bado unashusha chozi kwaajili mwehu yule nakushauri kimbia hospital kacheck afya ya akili.
 
Takataka
 
Lijinga kweli weye!Unaacha kumlilia Mungu unamlilia John?Such a pompompo!😝😝😝😝😝
 
Si umfate alipo, unalia wakati ipo unapiga msosi mzuri, funga siku 21 KWa kunywa maji tu KWa ajili yake Kama kweli wampenda ,acha unafiki
 
Mama apunguze kucheza na Beat la Wanaharakati akitegemea atafurahisha kila mtu hao wapinzani anaowakumbatia ikifika 2023 ndo ataona rangi zao Halisi, Nashaka na Ccm kumfia mikononi
KWANI UBAYA WA MAMA SAMIA NI UPI?? KWAHIYO MLITAKA CCM TU NDO MUWE NA HAKI KTK NCHI HII? MTATESEKA SANA RAIS SAMIA NGANGARI KUMI TENA HAUPENDI UONGOZ WAKE HATA BURUNDI NI NCHI UNAWEZA KWENDA
 
Nani?Maliyemu Joni Magufuli?Ntamkumbuka kwa utekaji wake.Anakuteka halafu anataka alipwe ransom aka kikombozi.Ila jamaa alikuwa muhuni.Muhuni in the house!😝😝😝😝😝😝
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…