SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tukae kama bunge tubadilishe katiba halafu tumlazimshe atawale mpaka atakapoamua kuacha mwenyewe.Sisi kwetu tunasubiri amalize muda wake maana hatuamini Kama tunaraisi kikwetu familia inayoongozwa na mwanamke huwa haiheshimiki yaani wakurya, wasukuma tunapata taabu sana Kwanza nchi inarudi kwa Kiwete kule alikotutoa Mpambanaaji anko Magu nchi ameinyosha harafu huyu mwenye maumbile ya kike yule mwanamke ,,Sjui Kama nchi yetu ya kusadikika tutaifikia MOLA tusaidie la sivyo mfumo huu utaturudisha na kutupeleka mbele kwa kuupolomosha uchumi wetu kwa speed ya 4G..
Mkataba wa ununuzi wa ndege uko wapi?
Mkataba wa ujenzi wa SGR uko wapi?...
😅😅😅Mkataba wa ununuzi wa ndege uko wapi?
Mkataba wa ujenzi wa SGR uko wapi?...
Umeshafutwa?Huu uzi wako utafutwa mapema sana Mods wakiuona. Kama mimi ni muongo, utaniambia.
Hakuna hata moja naweza mkumbuka
This is a special thread and a tribute to the late J.P.M.
Najua tupo katika kipindi cha masikitiko kama taifa, Jemedari wetu amefariki dunia, kama lisemavyo neno la Mungu katika kitabu cha biblia kuwa mfalme hawezi kuokolewa kwa na jeshi lake kubwa bali ni Bwana hutuponya na mauti ( Zaburi 33:16), yaliyoandikwa yametimia Mungu amlaze mahala pema peponi.
Hakika tutammiss , kama ule usemi usemao umuhimu wa mtu huonekana zaidi asipokuwepo..
Yafuatayo ni mambo aliyonikosha J.. P. M (R. I. P).
1. Nidhamu kwenye taasisi za serikali, kuanzia matumizi, utendaji wa kazi na utoaji wa huduma.
2. Msimamo bila kujali nchi nyingine zimeamuaje , kimsingi maamuzi mengi yalifanywa kuzingatia maslahi ya nchi sio mkumbo ( i.e chanjo ya corona).
3. Super-Mega projects zenye maslahi ya muda mrefu , S.G.R, Nyerere, Mwendokasi n.k.
4. Kuwanyoosha majirani zetu walizoea kutuibia na kutuchezea michezo ya ajabu ajabu.
5. Kuleta siasa za kuambiana ukweli na sio za kubembelazana hovyo.
6. Kukomesha ujambazi na matukio ya kihalifu majumbani.
7.
Itaendelea...
PIA SOMA>> TANZIA - Rais John Pombe Magufuli afariki Dunia kwa ugonjwa wa Moyo hospitali ya Mzena jijini Dar
Nimewasiliana nao muda si mrefu walikuwa Coco Beach wakijifunza kuogelea! Walinihakikishia, watakapofika tu ofisini, watafanya jambo lao.Umeshafutwa?
Crap....Nimewasiliana nao muda si mrefu walikuwa Coco Beach wakijifunza kuogelea! Walinihakikishia, watakapofika tu ofisini, watafanya jambo lao.
Huoni wame uunganisha! Tena ni baada ya kutoa tahadhari.Crap....
Sikupata nyongeza ya mshahara wala kupanda darajaDr Magufuli lanced the boil in the Government. I know our Senior Public Servants chafe at the use of such language. But they – and we – know the Executive has traditionally been aloof and marked by impropriety and illegality.
It’s that boil that Dr Magufuli will be remembered for lancing. But as I remarked to him recently, one or two things can happen when you lance a boil – you can either cure or kill the patient. The septic shock can be fatal. The body can also be cleansed and nursed to health. He brought service delivery closer to the people in the remotest reaches of the republic.He revolutionised the way the public service work, and brought technology and empiricism to tame corruption, incompetence, and laziness.
Finally, I believe there will never be another JPM. But whoever succeeds him is bound by the energies that he unleashed. Those who believe that we can go back to the pre-John Pombe Joseph Magufuli Executive are sadly mistaken.
You can’t un-ring a bell that’s been rang. The concept doesn’t exist in science. The poor soul who succeeds Dr Magufuli shouldn’t try to fill his shoes. Those are too large. She needs to cure the patient she think is sick while it is otherwise. I have never seen DOMO-CRACY on any dinner table.
Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
😂😂😂😂😂 Kwani wewe ndio Pumbavu?Kila nikiona afrika wanavyo mlilia magufuli ndipo na amini ukweli nabii akubaliki kwao..